Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Sifahamu but Samia must go was very wrong πŸ’
na ndio sababu maandamano yalikufa kabla ya siku yake.
Sisi wengine hatuna vyama lakini mwenyekiti wa chama alipotoa kauli ile tukamuona mwehu sana.Samia alihusikaje na kifo cha Ali Mohamed Kibao.Na hata wangesema kahusika basi kauli kama ile wangeitafutia sehemu wakaificha sio kutamka hadharani.
Wenyewe Chadema hatimae walishtuka lakini walikuwa wamechelewa sana.
Eti maandamano ya amani ,mara maandamano ya maombolezo
Ujinga mtupu!
 
Waandamane na wewe ukiwa wapi?πŸ˜„πŸ˜„

Wewe hutaki kwenda wavuvi
 
hakuna mtu muoga kama mbowe ila mjanja sana anawatanguliza nyumbu wasio na akili waende barabarani yeye hata kulala kwake kaogoma mhuni sana mbowe
We ni nyege zinakutesa.

Endelea kubembeleza wanaume wako mtaani wana haso kutetea uhai wako sahivi hawana hamu ya kunyandua.

Mbowe alikuwa front na amekamatwa wewe bado uko ndotoni
 
Waandamane na wewe ukiwa wapi?πŸ˜„πŸ˜„

Wewe hutaki kwenda wavuvi
wana mdomo sana ndio tatizo lao , siku ya maandamano aaah, wamemuacha mwenyekiti peke yao ,ina maana hata wenyeviti wa wilaya wa chadema wamekula kona
 
Mwehu ni wewe usiyejua serikali ya Tanzania inaongozwa na nani na ni nani mwenye mamlaka ya kutoa AMRI.
Baki na mumeo chumbani mzae muongeze idadi sawa na wanaouawa na utawala wa awamu ya 5.
 
Umeonyesha wazi UDINI kwa kwenda mbele,
Waarabu , waarabu, waarabu basi udini tu hakuna lolote la maana
Mama ni mtanzania na tanganyika wala haipo
 
We ni nyege zinakutesa.

Endelea kubembeleza wanaume wako mtaani wana haso kutetea uhai wako sahivi hawana hamu ya kunyandua.

Mbowe alikuwa front na amekamatwa wewe bado uko ndotoni
Sawa lakini huoni ajabu chama kina wafuasi zaidi ya 5m nchi nzima halafu mbowe amekutwa kwenye maandamano peke yake , huoni hapo kuna tatizo, ina maana hata wewe unayeandamana humu jf pia umemsaliti mwenyekiti
 
Kama cdm imekufa, na polisi wana sura ya uchovu wa usingizi hadi muda huu, sijui ingekuwa hai ingekuwaje. Hiyo ni ishara kuwa uhai wa ccm ni vyombo vya dola tu.
Pamabana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…