Pre GE2025 Yaliyojiri kwenye mahojiano kati ya Chief Odemba na Peter Msigwa kwenye kipindi cha Medani za Siasa

Pre GE2025 Yaliyojiri kwenye mahojiano kati ya Chief Odemba na Peter Msigwa kwenye kipindi cha Medani za Siasa

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Najaribu kuseti Star tv naona haikamati

Hayo Mahojiano yanaendeleaje?

Hata Hapa Jf pako kimya

Kwako Lucas Mwashambwa 😄
 
Ninamskiliza hapa jamaa anaongeaongea tu simuelewi mifano miingi isiyoendana na anachoulizwa.
 
Kashasema mambo ya kisiasa yamalizwe kisiasa. Msigwa alikuwa anatania tu, kwani nyie Chadema huwa hamtaniwi ?
Ninamskiliza hapa jamaa anaongeaongea tu simuelewi mifano miingi isiyoendana na anachoulizwa.
 
Hahahaaaa sikubaliani na kutekwa watu haoipoohioo
 
siwezi kuuza utu wangu kwa vipande 30 vya fedha. ...ilikuwaje...
 
nikihama chadema chomen nyumba

Hahahaaaaaa
 
Siwezi kuuza utu wangu....imekuwaje tena...
 
wa2 wanaochangiaa kutokuwa na katiba mpya n chademaaa...
Utaijua hioooo....
 
Wachaa tuendeeee kuhubiri buza kwa lulengeee loh
Injiliiii oyeeee
 
Nadhani ameshafanya kipindi tayari, kinachorushwa usiku ni recorded. Hata hivyo sioni kama atakuwa na jipya zaidi ya nongwa kwa cdm, na chuki yake dhidi ya Mbowe.
Binadamu si watu!
Msigwa ni darasa tosha!
 
Back
Top Bottom