Joseverest
JF-Expert Member
- Sep 25, 2013
- 52,812
- 71,392
Yellow card kwa Jacob Massawe wa Ndanda Dk 83
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Utakua umekula maharagwe yaliyochacha si burepiga ndala aooo
Malizia hizi za mwisho...mimi nimeyaminya....Dakika 3 za nyongeza
Inaelekea timu nyingi zinaiogopa sana Simba kiasi kwamba zikitoa sare inakuwa kama vile maajabu fulani. Nimefuatilia sare za Simba, kuanzia ile Yanga ilipofungwa kwa penati ngao ya hisani, kisha Azam na then juzi Mbao. Yaani wanaopata sare wanafurahi kwa kutaja bajeti ya usajili ya Simba! Jamani mjiamini, sio sare tu, hata kushinda mnaweza pia!... kumbe we ni wale wa bil 1 halafu mnatafuta droo! Sawa wahenga asante
Utakua umekula maharagwe yaliyochacha si bure
Wameshinda 3Nawatakia Ndanda ushindi..
Hebu amka sasa Kumekuchapiga ndala aooo
Timu ya makelele ni ile ya kutumia billion moja kusajili kwa ajili ya kutafuta droo.Sijasikia kelele mtaani...huenda Yanga wameshinda na mpira umeshaisha!
Kweli kabisa aiss...Timu ya makelele ni ile ya kutumia billion moja kusajili kwa ajili ya kutafuta droo.
Yanga ushindi ni jambo la kawaida sana halihitaji kelele.
Hatimaye wameshinda njaaNawatakia Ndanda ushindi..
Yanga imechukuwa point 3 muhimu, hizo porojo nyingine kapige na mashoga zako.Tshitshimbi vipi, bado ana moto mkali wa kuotea mbali?
[emoji23] [emoji23]Malizia hizi za mwisho...mimi nimeyaminya....