Yaliyojiri kwenye uzinduzi wa SGR ya Kenya

Yaliyojiri kwenye uzinduzi wa SGR ya Kenya

Mimi sio mtu wa calibre kama yako kijana! Hakuna kipya hapo chini ya jua cha kunishtua!


Hapa ni pop corn tu
emoji23.png
emoji23.png
emoji23.png

Punguza povu...usianze kulia lia hapa eti kwa sababu nimewaita LDC...kwani si ni kweli?
emoji23.png
emoji23.png
 
Ndo maana nakwambia akili yako bado sana[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]


Yaani hujui hata nataka kuongelea nini wewe unakurupuka kutaja vya kwako!


Pole sana bwana mdogo! Leo ni jumamosi nenda shule sabato[emoji23] [emoji23] [emoji23]
sawa bwana mkubwa
emoji23.png
emoji23.png
naona umejawa na povu..take a chill pill..utakufa mapema kabla ya umri..
emoji23.png
 
Mtoa mada...kuhusu hili la kusema et bila Kenya hamna EAC isikusumbue sana...nina weza kukuhakikishia kuwa huo ni usemi usio na mantiki...in the Nairobi Terminus katika uzinduzi, there was a big flag for EAC beside the Kenyan and the Kenya Railways flag...
 
Back
Top Bottom