Yaliyojiri kwenye uzinduzi wa SGR ya Kenya

Mimi sio mtu wa calibre kama yako kijana! Hakuna kipya hapo chini ya jua cha kunishtua!


Hapa ni pop corn tu

Punguza povu...usianze kulia lia hapa eti kwa sababu nimewaita LDC...kwani si ni kweli?
 
sawa bwana mkubwa naona umejawa na povu..take a chill pill..utakufa mapema kabla ya umri..
 
Mtoa mada...kuhusu hili la kusema et bila Kenya hamna EAC isikusumbue sana...nina weza kukuhakikishia kuwa huo ni usemi usio na mantiki...in the Nairobi Terminus katika uzinduzi, there was a big flag for EAC beside the Kenyan and the Kenya Railways flag...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…