Kwa uchafuzi uliotokea leo kwenye so called uchaguzi, Sahau kabisa kuwa kutakuwa na uchaguzi Tanganyika.
Diaspora isaidie nchi yetu maana kutokea kwa ndani si rahisi, kutokana na sheria walizozitunga za kuwakinga hata wauaji as long as walikuwa kweye bussiness ya uchafuzi
Kutokea hapa watawaua wapinzani sana, watawafunga sana and the like
Unaona kabisa kuwa serikali na CCM wako determined so as to maintain power
How? That is a big debate... Maria space mnaweza kupeana mawazo as long as you are in a lawful truck
Diaspora isaidie nchi yetu maana kutokea kwa ndani si rahisi, kutokana na sheria walizozitunga za kuwakinga hata wauaji as long as walikuwa kweye bussiness ya uchafuzi
Kutokea hapa watawaua wapinzani sana, watawafunga sana and the like
Unaona kabisa kuwa serikali na CCM wako determined so as to maintain power
How? That is a big debate... Maria space mnaweza kupeana mawazo as long as you are in a lawful truck

