Yaliyojiri leo kwenye uchafuzi katika kile kinachoitwa uchaguzi wa leo, TANGANYIKA DIASPORA isaidie nchi yetu

Yaliyojiri leo kwenye uchafuzi katika kile kinachoitwa uchaguzi wa leo, TANGANYIKA DIASPORA isaidie nchi yetu

Kwa uchafuzi uliotokea leo kwenye so called uchaguzi, Sahau kabisa kuwa kutakuwa na uchaguzi Tanganyika.

Diaspora isaidie nchi yetu maana kutokea kwa ndani si rahisi, kutokana na sheria walizozitunga za kuwakinga hata wauaji as long as walikuwa kweye bussiness ya uchafuzi

Kutokea hapa watawaua wapinzani sana, watawafunga sana and the like

Unaona kabisa kuwa serikali na CCM wako determined KUUA so as to maintain power

How? That is a big debate... Maria space mnaweza kupeana mawazo as long as you are in a lawful truck
Sasa hao ma uji uji wa huko watakuwa na uchungu kuliko sisi tulioko Tandahimba? 😂😂😂😂

Chadema mnatia huruma sana 😁😁
 
Kwa uchafuzi uliotokea leo kwenye so called uchaguzi, Sahau kabisa kuwa kutakuwa na uchaguzi Tanganyika.

Diaspora isaidie nchi yetu maana kutokea kwa ndani si rahisi, kutokana na sheria walizozitunga za kuwakinga hata wauaji as long as walikuwa kweye bussiness ya uchafuzi

Kutokea hapa watawaua wapinzani sana, watawafunga sana and the like

Unaona kabisa kuwa serikali na CCM wako determined KUUA so as to maintain power

How? That is a big debate... Maria space mnaweza kupeana mawazo as long as you are in a lawful truck
Unaomba msaada kwa diaspora ambao wenyewe HAWAJITAMBUI ili iweje?
 
Sisi tusioshabikia siasa tumewaachia ccm watawale lkn kuua watu kwaajili tu ya kushika dola si jambo la busara. Hakuna aliezaliwa atawale milele ila ccm hamtaki kuachia raia waamue viongozi wanaowataka. Shenzi zenu na mwenyekiti wenu bibi wa kizimkazi aaargh.
 
Gentleman, relax,
this is our time, and the future of this beautiful country, belongs to us all as a Nation.

CCM is our trusted and determined development architecture, currently and in future.

no rooms for puppets and mercenaries in Tz :pulpTRAVOLTA:
Now who is supposedly a puppet or mercenary? From my understanding we only have the Ruling and opposition parties.
 
Leo umefanyika uchaguzi wa kuhistoria Tanzania,

Ni uchaguzi wa amani, huru, wa haki na wa wazi tangu taifa letu lipate uhuru.

CCM imeendelea kubeba dhamana ya nchi kwa uaminifu mkubwa sana.

Serikali Sikivu ya ccm iko imara na madhubuti kuliongoza taifa letu kwa amani.

Mungu Ibariki Tanzania :NoGodNo:
tuendelee kububujikwa na machozi
 
Back
Top Bottom