Yaliyojiri Ligi ya Mabingwa Africa : Nkana FC yaichapa Simba SC kwa magoli 2-1

Haaaaaahaaaaa haya mahaba ss binafsi mm namkubali sana triple c ila leo kapotezwa!


Enzi hizo tulikuwa na Niyonzima.

Yeye anageuka kuwa Fabregas akicheza na Ruvu Shooting.

Ila akikutana na wenzake huko kimataifa anageuka kuwa Frimpong.
 
nyumbani ni nyumbani ndugu.
hata kukiwa na mechi Kali aliyepo home huwa ana pewa possibility kubwa ya kushinda compare na away.
then kwa timu kama nkana ilikuwa na uwezo mkubwa wa kushinda home.
simba wajipange walete heshima nyumbani


Mbona mbambane alikuwa Home na alifungwa 4.
 
nyumbani ni nyumbani ndugu.
hata kukiwa na mechi Kali aliyepo home huwa ana pewa possibility kubwa ya kushinda compare na away.
then kwa timu kama nkana ilikuwa na uwezo mkubwa wa kushinda home.
simba wajipange walete heshima nyumbani
Mkuu, endelea kuunga juhudi. Labda mtafika.
 
We jamaaa ulikuwa una type au ulikuwa una andika
 
mechi ya marudiano ni lini tuone kitakachojili?
 
Haya ni mashindano ya home and away. Bado dakika 90.
Nkana hana jinsi hajawahi kupona kufungwa pungufu ya 3.
Alishafungwa 3-1 Dar na 3-0 Morogoro.Atakufa tu.Anayebisha aweke dau. Mimi naweka milioni 2.Tumkabidhi moderator. Umama wa maneno matupu uishe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…