balibabambonahi
JF-Expert Member
- Apr 5, 2015
- 15,771
- 14,294
Nkana 1 Mikia o dkika ya 29Mkude kachezewa rafu mbaya refa hata kadi hatoi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nkana 1 Mikia o dkika ya 29Mkude kachezewa rafu mbaya refa hata kadi hatoi
Kweli mkuu, tutapata tabu sana leo wapenzi wa NkanaOf coz,watasikilizia kama huyo mwanamama aliye ofisini mwa daktari kwenye avatar yako.Watapata taabu kwelikweli.
Ni poor marking Mkuu utatu wa mbele unaigawa timuManula kapigwa la mbali as usual.
Utaukimbia tu Uzi wakoTulia mkuu gemu bado hii
Tulisema hao ni level kubwa si Mbabane Swallows.Ni poor marking Mkuu utatu wa mbele unaigawa timu
Hadi sasa nimeshaweka supu ya mbuzi na chapati. Nkana wakishinda, nitakula chapati sawa na idadi ya magoli yaliyochomekwa kwa simbaTumeshapigwa cha kuku.
Wakirudi wapewe mwezi kujiandaa kurudiana na NkanaMungu ibariki Nkana,funga hao mikia warudi matopeni.
Ni robo uwanja timu nzima ni Michama, mikia wanaye mmojaJamaa zetu washakalia kimoko huko, naskia wanachezewa nusu uwanja....