Yaliyojiri Mahakama Kuu Divisheni ya Makosa ya Uhujumu Uchumi na Rushwa, kesi ya Mbowe na wenzake 3 - Kesi imeahirishwa hadi Nov. 29 2021

Yaliyojiri Mahakama Kuu Divisheni ya Makosa ya Uhujumu Uchumi na Rushwa, kesi ya Mbowe na wenzake 3 - Kesi imeahirishwa hadi Nov. 29 2021

Jaji akiikubali hiyo barua jamuhuri itakuwa na mitiani mkubwa sana maana itabidi wamthibitisha Lingwenya kama alivyoomba

Na ktk kumthibitishia Kuna takiwa kufanyika uchunguzi na ktk uchunguzi Kuna mambo mengi sana yatatakiwa yawekwe wazi. Hapo cha ha ndio patamu

Ninavyoona mimi jaji hawezi kukubali hiyo barua ipokelewe, na sijui ataikataa vipi isipokelewe maana Mmhh..
Jaji ana jifunga mwenyewe kwenye maamuzi yake. Kuna barua utetezi ulikataa isipokelewe, yeye kwa mapenzi yake kwa hii kesi akaipokea ili kuwafurahisha mawakili wa mashtaka. Bila kujua kita tokea nini baadae. Sasa mawakili wa utetezi wana mwambia kwa sheria ile ile uliyo tumia kuikubali ile kile kielelezo cha mashtaka, itumie hiyo hiyo kupokea hiki kielelezo. Hapo ni pale stering ana kufa kabla cinema haija isha.

Atachomokaje hapo?
Na akikataa hiki kielelezo naona ndio mwisho wake kuendelea na hii kesi. Washtakiwa hawata kubali maaana ataonekana ameegemea upande mmoja.

Mungu tunae mwabudu hutenda kwa wakati. Serikali ya Ccm na mapolisi wake wana kwenda kuaibika soon.
Ndio maana unaona mawakili wamejisahau hadi wana mgombeza jaji wao.
 
Mimi nahisi mojawapo ya haya linaweza kutokea j3 ijayo:
[emoji106]Mwamuzi anaweza akapata dharula itakayomfanya ashindwe kuja mahakamani j3
[emoji106]Mwamuzi anaweza akaamua kujitoa weekend hii na j3 akaenda kutangaza uamzi wake
[emoji106]Dipipiii anaweza akatangaza kutokuwa na nia ya kuendelea na hii kesi
[emoji106]Mwamuzi anaweza kuamua barua ipokelewe na koti japo ni rahisi kwa ngamia kupita kwenye tundu la sindano kuliko hicho kijikaratasi kupokelewa na koti; na
[emoji106]Mwamuzi anaweza akaamua kwa kutumia kigezo almaarufu cha "kwa maoni yangu" kuipa ushindi sirikali (na hili ndilo linalodhaniwa kwamba ndilo litakalotokea).

Yamkini naweza nisiwe sahihi sana lakini hayo ndiyo maoni yangu.
Uko sahihi sana...

Lakini yote ya yote, NI GHARAMA KUBWA SANA KUIGEUZA HAKI YA MTU KUWA HATIA na FAIDA NA THAWABU kuu KUIACHA HAKI KUFUATA MKONDO WAKE....

Just imagine...

Eti mawakili wa serikali au Jamhuri wanataka mshitakiwa asitumie njia yoyote possible kisheria ku - prove his/her innocence..!

Wameng'aka na kupaniki kwelikweli kuona mshitakiwa akitaka nyaraka hizo muhimu toka kwa RPC Ilala kuletwa mahakamani ili zitumike kuthibitisha UONGO au UKWELI wa mapolisi hawa wanaojaribu kuthibitisha makosa ya washitakiwa hawa mahakamani....!

Na hii ndiyo shida ya kesi za kutengenezwa/kubumba ili kukomoana...

Jaji Tiganga ana wakati mgumu sana...

It's either aamue kunyoa au kusuka...
 
Jaji akiikubali hiyo barua jamuhuri itakuwa na mitiani mkubwa sana maana itabidi wamthibitisha Lingwenya kama alivyoomba

Na ktk kumthibitishia Kuna takiwa kufanyika uchunguzi na ktk uchunguzi Kuna mambo mengi sana yatatakiwa yawekwe wazi. Hapo cha ha ndio patamu

Ninavyoona mimi jaji hawezi kukubali hiyo barua ipokelewe, na sijui ataikataa vipi isipokelewe maana Mmhh..
Kama alivyo pokea kielelezo cha mashtaka kimagumashi ndivyo atakavyo kikataa jumatatu.

Hapa ni lazima utetezi wajiandae kwa mahakama ya rufaa.
 
Picha inayojitengeneza iko hivi:

Makomandoo, warriors, Adamoo, Lijenje, Lingwenya na wengine, walifundishwa na Luteni Denis Urio medani za kivita na za kikomandoo na wakaiva vizuri. Ujue kuna bonding inatokea wakati vijana kakamavu wanapofanya mambo ya kishujaa pamoja.

Taifa likawatuma wapiganaji wake hawa Zaire kwenye vita. Mizinga, milio ya risasi na vita vinaweza kuleta tatizo la kisaikolojia linaloitwa post traumatic stress au battle fatigue.

Nchi zilizoendelea huwa zinawasaidia mashujaa wake wanaougua battle fatigue kwa matibabu na namna ya kuishi. Inavyoonekana kwetu walipatiwa matibabu kiasi kisha wakafukuzwa jeshini.

Walibidika kujitafutia maisha. Tunaambiwa walilazimika hata kufanya kazi za kupasua kokoto Mtwara. Mungu sio, Athumani, mwalimu wao akapata habari ya kuwepo kwa nafasi ya kazi ya kuwalinda viongozi wa Chadema. Akawakumbuka wanafunzi wake mashujaa wanaosota, akawaunganisha kwenye hiyo fursa.

Chuki zikaanza. Wakatafutiwa makosa.

Naona kwenye picha walivyokonda sana. Bila shaka wamepitia mateso mengi. Kosa lao ni lipi? Walianza kwa kujiunga na jeshi ili wailinde nchi yetu. Shukrani yetu iko wapi?
mkuu hii comment yako imeniuhudhunisha sana ni kweli kabisa jamaa wamekonda sana na nyuso zao zimepoteza nuru kabisa ila kwa vile ni makomandoo wanajitahidi kujikaza tu kiume,wanateseka kwa hila za watu wachache wenye roho za kishetani wanaohisi dunia hii wataishi milele ila wajue tu hakuna marefu yasiyokuwa na ncha na pia what goes around always come around.
 
Komando Lijenje aliyekuwa anatoa ushahidi ijumaA, aliye piga saluti
Screenshot_20211126-185906_Twitter.jpg
 
1. Hakika kabisa, hii kesi siyo ngumu. Ugumu unakuja kwa sababu Jaji analazimishwa kutoa maamuzi kwa kupinda sheria

2. Ni sawa na kusema, kutiririka kwa maji ya mto naturally ni rahisi tu. Lakini ukitaka kuyalazimisha maji ya mto yatiririke kurudi yaliko toka, utapata shida sana na automatic hutaweza. Ndivyo anavyotaka kufanya Jaji katika kesi hii, kulazimisha maji yatiririke kupandisha mlima, yarudi yalikotoka...!

KIINI CHA MAWAKILI WA JAMHURI KUKOMAA KUIZUIA BARUA HIYO ISIPOKELEWE NI:

1. Mshitakiwa Mohamed Abdilah Ling'wenya anasema alipotolewa Moshi kwanza alifikia TAZARA police station na baadae Mbweni Police Station. Hakuwahi kupitishwa Central Police DSM...

2. Wao polisi na Jamhuri wanaoshitaki wanasema SIYO KWELI washitakiwa wote 1 Adamoo na 2 Ling'wenya baada ya kutoka Moshi, straight walifikishiwa Central Polisi DSM na baadae Mbweni Police Station na kamwe hawakuwahi kuwafikisha washitakiwa hawa TAZARA Police Station kuteswa kama wanavyodai...

3. Kuthibitisha hili, Jamhuri au upande wa mashitaka umeleta shahidi polisi wanne lakini walioleta sintofahamu zaidi ni hawa wawili;

å Afande Msemwa wa Central Police DSM anayedai ndiye aliwapokea watuhumiwa na kushughulika nao ktk Selo ya C.P.D....

å Afande mmakonde na Mkuu wa Kituo cha Polisi TAZARA anayedai kuwa ktk tarehe hizo wanazotaja watuhumiwa kuwa walipelekwa kituo cha Polisi, TAZARA siyo kweli kwa sababu hakuwahi kuwapokea na hakuna kitu kama hicho ktk kumbukumbu za kituo chake wakati huo yeye akiwa ni kaimu mkuu wa kituo...!!

4. Sasa kwa kuwa polisi hawa wanabisha na ushahidi wao ni D.R za Central Police DSM na TAZARA ambazo pia zilibishaniwa sana na kuonekana ni za kughushi, ilibidi watuhumiwa watumie njia nyingine ili tu ku - prove uongo wa Polisi hawa...

5. Ndipo sasa mshitakiwa wa 2 ndugu Abdilah Ling'wenya akashauriana na mawakili wake kwa niaba yake waombe nyaraka kadhaa toka kwa RPC wa Ilala zitakazoonesha;

å Kama kweli Mkuu wa Kituo cha TAZARA amewahi kukaimu ukuu wa kituo TAZARA kwa nyakati zile alizosema ktk ushahidi..

å Kama kweli kulikuwa na movement order za watuhumiwa hao kutoka Central Police, Mbweni na maeneo mengine. Ndiyo maana wameomba OB, Station Diary, Occurrence Book nk. Nyaraka hizi ni funga kazi na zikifika mahakamani zitaufumua ushahidi Jamhuri wote na watabaki watupu...!

5. Hiyo barua bado haijulikani kama ilipokelewa na kujibiwa na RPC Ilala au la. Lakini kwa steji hii haijalishi sana kama aliipokea au la. La muhimu utetezi wanataka ikubaliwe na kuingizwa kama sehemu ya kielelezo muhimu. Na mengine yatafuata baadae. Na ikikubaliwa, obvious RPC Ilala atalazimika kuzitoa nyaraka hizo kwa mshitakiwa ili zitumike mahakamani kutolea maamuzi. Hili Polisi na Jamhuri hawataki kabisa litokee maana litafunua uongo wa Polisi na itakuwa THE END OF THE GAME...

6. Kwa hiyo, hii barua ya Ling'wenya ikikubaliwa tu iingie kama kielelezo cha ushahidi wa Mohammed Abdilah Ling'wenya inaweza kuwa na athari zifuatazo kwa upande wa mashitaka;

å Kumlazimisha RPC wa Ilala kuwapatia washitakiwa nyaraka hizo walizoomba kitu ambacho kitakuwa hatari sana kwao, maana. huo ndiyo unaweza kuwa mwisho wa uongo wao...

å Inaweza kuukosesha thamani ushahidi wote wa Afande Msemwa wa Central Police DSM na ule wa mkuu wa kituo cha Polisi TAZARA...

Hii ndiyo inayowafanya mawakili wa Jamhuri wapambane kuhakikisha hiyo nyaraka haipokelewi kabisa...!!


Kukatisha ushahidi wa ghafla ni ili kuwapoteza maboya mawakili wa utetezi kwa sababu ni wazi kuwa mmawakili wa Jamhuri walishaelewa hatari iliyoko mbele yao juu ya hili wanalobishana nalo sasa...

Kwa hiyo kujaribu kuwachanganya, waliamka asb, wakafika mahakamani na kutangaza kuufunga ushahidi wao na lengo likiwa ni kuwasitukiza upande wa utetezi wasimwandae shahidi...

Very unfortunately kwao, kumbe shahidi yuko vizuri na mawakili wa utetezi nao wakawa wako sharp...

Kwa hiyo upande wa Jamhuri hawakudhani kuwa shahidi angeweza kuwa na akili Wa kuja na "counter attack" hatari na matata kiasi hicho kwa kuleta ushahidi wa nyaraka strong kiasi hicho hata kutaka kuimaliza kesi hii mapema hivi. Waingereza husema, THEY WERE CAUGHT BY SURPRISE...

Ni mpaka J'3 tarehe 29/11/2021. Hatujui watacheza vipi na Jaji wao. Lakini it's obvious that, Jaji ana wakati mgumu kwelikweli kuamua. It's either awabebe kwa kupinda sheria au asimame kwenye sheria...

Hiyo ni GEAR KUBWA. Hii kesi haina uzito wa kumhitaji TL. Kibatala na wwnzake wameshamaliza kazi. Hakuna kesi hapo...!

By the way, kumbuka kuwa, baadhi ya wanaoitafuta roho yake bado wapo. Mmoja mkubwa wao a.k.a JIWE alishakufa. Subiri nao wafe KIROHO na KIMWILI, kisha ndipo aje...
Mkuu, au mwingine yeyote anayejua haya mambo: hizo SD,OB nk hawa waovu wanaweza kuzichakachua pia au?! Isijekuwa hii weekend yote wataitumia kutengeneza feki za kuleta mahakamani!
 
Mkuu, au mwingine yeyote anayejua haya mambo: hizo SD,OB nk hawa waovu wanaweza kuzichakachua pia au?! Isijekuwa hii weekend yote wataitumia kutengeneza feki za kuleta mahakamani!
Sio laisi ki hivyo, ndio maana Kuna moja waliileta mahakamani Ina pages zimegolewa na pages nyingine zimeongezwa kwa kuwekewa pini. Na video ya cctv camera zitahitajika ya vituo vyote vya polisi vilivyotajwa mahakamani
 
Mkuu, au mwingine yeyote anayejua haya mambo: hizo SD,OB nk hawa waovu wanaweza kuzichakachua pia au?! Isijekuwa hii weekend yote wataitumia kutengeneza feki za kuleta mahakamani!
1. Mosi, kwa upande mmoja inawezekana kabisa iwapo tu mfumo mzima wa utendaji wa serikali kupitia polisi, CID na DPP unaohusika na udanganyifu huu ktk kesi hii inayoendelea unakuwa umehusishwa kila hatua kuandaa uongo huu...

2. Pili, upande wa pili hili ni gumu sana iwapo jambo hili haliuhusishi mfumo mzima wa polisi na serikali kupitia idara za CID & DPP & mahakama...

Na mpaka hapa kila mtu mwerevu na mwenye akili amekwisha kujua kuwa, mpango huu ni wa kikundi fulani kidogo tu cha wanasiasa ndani ya CCM walafi wa madaraka wakiwatumia baadhi ya maafisa wa polisi, idara za CID, DPP na Majaji & mahakimu wachache wasio waadilifu ndani ya mahakama....

Hawa wanadhani adui na kikwazo chao ili kufikia malengo yao maovu ni Freeman Mbowe & CHADEMA kwa ujumla...

SASA, kama ni kikundi kidogo tu ndani ya serikali na polisi ndo kinahusika kuandaa au kutengeneza kesi hii ya uongo, basi ni obvious kabisa hawawezi kuharibu mfumo wote wa utunzaji kumbukumbu na nyaraka ili tu ku - suit evil ambitions zao. Wapo watakaokataa kushiriki ujinga na uovu huu. Na kwa maana hii mtu asidhani kuwa ndani ya serikali hii hii ya CCM hakuna watu wema na waadilifu. Hapana, wapo wengi sana huko polisi, mahakamani, jeshini, TISS etc...

Na dalili za uongo wao kuanikwa wazi, ziko wazi sana.....

Na kwa kifupi kabisa, tunaweza kusema kuwa hawawezi ku - maintain consistency ya UONGO wao before they got caught...!!

You just wait and see..
 
Kiongozi naimani uko salama,

Yes, niko ok
naomba niulize maana nimefwatilia hii kesi leo japo kwa twitter ila kuna jambo sijaelewa...

Bila shaka, nitakujibu kwa kadiri ya uelewa wangu...
Kwann mawakili (hasa wakili wa shahidi mr kiwelo) baada ya kujua kwamba hii ni very critical issue kwann hakusaini mwenyewe barua? Au ni nini alikwepa kusaini mwenye mpaka akamuachia mr kibatala?

Kama unakumbuka, Adv. Kihwelu ameshalitetea hili kwa kusema;

1. Toka mwanzo kule mahakama ya Kisutu wakati wa committal proceedings, Kibatala ndiye alikuwa wakili wa washitakiwa wote watatu

2. Hata sasa katika steji hii, mkuu wa jopo la mawakili wa utetezi ni Peter Kibatala na si kosa barua hiyo kusainiwa na yeye..

3. By the way, wameombwa sheria inayokataza hilo, wameshindwa kuitoa ama japo kunukuu kifungu cha sheria..
Maana nikijaribu angalia mawakili wa serikali wanakomaa na hii issue!

Ofcoz, ni lazima wakomae na hilo kwa sababu kama nilivyosema mwanzo, that, THEY WERE CAUGHT BY SURPRISE....

Hawakutegemea "counter attack" hatari na matata kwao kama hii ambayo inaweza kugeuza mambo mengi kuwa against them...!

And you know what?

Hiyo barua ikikubaliwa na kupokelewa tu kuwa kielelezo cha ushahidi upande wa utetezi, tutashuhudia bonge la U - TURN ktk kesi hii...!
Naomba nieleweshi mkuu!

Nadhani maelezo hayo juu, yanaweza kukupa ufahamu kiasi fulani...
NB: naona leo mawakili wa serikali walikua wanatumia kila ku provoke mawakili wa utetezi kisaikolojia...
Yes, na provocation dhidi ya wenzao ni kwa sababu hizi;

1. Just, ku - panic kwa sababu hatua waliyoichukua upande wa utetezi kupitia kwa mshitakiwa wa pili Mohamedi Abdilah Ling'wenya baada ya kupendelewa ktk mapingamizi yaliyokwisha kutolewa maamuzi, hawakuitegemea na ina threaten kuwatupa nje na kudhihirisha hila na uongo wa ushahidi wao na mashitaka kwa ujumla...

2. "Umafia" wanaoutumia kujipatia nyaraka fulani fulani bila kufuata sheria tena zingine mahakama ikiwa ndiyo custodian wake, imewashitua na kuwashangaza na kuleta panic upande wa Jamhuri hata kujiuliza wamewezaje kupata akili hii...

Hili hata Judge linampa wakati mgumu. Ameingia ktk mtego ambao ili ajinasue ni lazima ajichanganye tu. Na akijichanganya tu atawapa upenyo upande Wa utetezi kupiga nyundo....!!!

3. Wala usiwe na shaka, mtu yeyote anayeshindwa kutetea hoja na akaanza kum - provoke mwenzake, basi tambua kuwa ameshashindwa...

Hawa Jamhuri na Polisi wao, UONGO wao utawekwa wazi zaidi na zaidi very soon...
 
1. Mosi, kwa upande mmoja inawezekana kabisa iwapo tu mfumo mzima wa utendaji wa serikali kupitia polisi, CID na DPP unaohusika na udanganyifu huu ktk kesi hii inayoendelea unakuwa umehusishwa kila hatua kuandaa uongo huu...

2. Pili, upande wa pili hili ni gumu sana iwapo jambo hili haliuhusishi mfumo mzima wa polisi na serikali kupitia idara za CID & DPP & mahakama...

Na mpaka hapa kila mtu mwerevu na mwenye akili amekwisha kujua kuwa, mpango huu ni wa kikundi fulani kidogo tu cha wanasiasa ndani ya CCM walafi wa madaraka wakiwatumia baadhi ya maafisa wa polisi, idara za CID, DPP na Majaji & mahakimu wachache wasio waadilifu ndani ya mahakama....

Hawa wanadhani adui na kikwazo chao ili kufikia malengo yao maovu ni Freeman Mbowe & CHADEMA kwa ujumla...

SASA, kama ni kikundi kidogo tu ndani ya serikali na polisi ndo kinahusika kuandaa au kutengeneza kesi hii ya uongo, basi ni obvious kabisa hawawezi kuharibu mfumo wote wa utunzaji kumbukumbu na nyaraka ili tu ku - suit evil ambitions zao. Wapo watakaokataa kushiriki ujinga na uovu huu. Na kwa maana hii mtu asidhani kuwa ndani ya serikali hii hii ya CCM hakuna watu wema na waadilifu. Hapana, wapo wengi sana huko polisi, mahakamani, jeshini, TISS etc...

Na dalili za uongo wao kuanikwa wazi, ziko wazi sana.....

Na kwa kifupi kabisa, tunaweza kusema kuwa hawawezi ku - maintain consistency ya UONGO wao before they got caught...!!

You just wait and see..
Mkuu asante sana kwa ufafanuzi huu.....I wish watu wema walio kwenye nafasi za kufichua hila chafu zinazofanywa na waovu hawa wafanye hivyo kwa wingi....wapuuzi hawa ni wa kukomeshwa kabisa.
 
Jaji ana jifunga mwenyewe kwenye maamuzi yake. Kuna barua utetezi ulikataa isipokelewe, yeye kwa mapenzi yake kwa hii kesi akaipokea ili kuwafurahisha mawakili wa mashtaka. Bila kujua kita tokea nini baadae. Sasa mawakili wa utetezi wana mwambia kwa sheria ile ile uliyo tumia kuikubali ile kile kielelezo cha mashtaka, itumie hiyo hiyo kupokea hiki kielelezo. Hapo ni pale stering ana kufa kabla cinema haija isha.

Atachomokaje hapo?
Na akikataa hiki kielelezo naona ndio mwisho wake kuendelea na hii kesi. Washtakiwa hawata kubali maaana ataonekana ameegemea upande mmoja.

Mungu tunae mwabudu hutenda kwa wakati. Serikali ya Ccm na mapolisi wake wana kwenda kuaibika soon.
Ndio maana unaona mawakili wamejisahau hadi wana mgombeza jaji wao.
La 'kubumba' halina ubani. Litasambaratika vilevile kama zilivyo kazi nyingine za shetani. AMEN
 
Mkuu umedadavua vizur sana, hongera uko vizur upstairs!! Nimesoma as if nilikuwa naangalia game ya juzi Man city v/s PSG yaan burudani kabisa.Kiufupi hao mawakili wa serikali wameamua leo wapaki bus tu.
Safi
 
Yes, niko ok


Bila shaka, nitakujibu kwa kadiri ya uelewa wangu...


Kama unakumbuka, Adv. Kihwelu ameshalitetea hili kwa kusema;

1. Toka mwanzo kule mahakama ya Kisutu wakati wa committal proceedings, Kibatala ndiye alikuwa wakili wa washitakiwa wote watatu

2. Hata sasa katika steji hii, mkuu wa jopo la mawakili wa utetezi ni Peter Kibatala na si kosa barua hiyo kusainiwa na yeye..

3. By the way, wameombwa sheria inayokataza hilo, wameshindwa kuitoa ama japo kunukuu kifungu cha sheria..


Ofcoz, ni lazima wakomae na hilo kwa sababu kama nilivyosema mwanzo, that, THEY WERE CAUGHT BY SURPRISE....

Hawakutegemea "counter attack" hatari na matata kwao kama hii ambayo inaweza kugeuza mambo mengi kuwa against them...!

And you know what?

Hiyo barua ikikubaliwa na kupokelewa tu kuwa kielelezo cha ushahidi upande wa utetezi, tutashuhudia bonge la U - TURN ktk kesi hii...!


Nadhani maelezo hayo juu, yanaweza kukupa ufahamu kiasi fulani...

Yes, na provocation dhidi ya wenzao ni kwa sababu hizi;

1. Just, ku - panic kwa sababu hatua waliyoichukua upande wa utetezi kupitia kwa mshitakiwa wa pili Mohamedi Abdilah Ling'wenya baada ya kupendelewa ktk mapingamizi yaliyokwisha kutolewa maamuzi, hawakuitegemea na ina threaten kuwatupa nje na kudhihirisha hila na uongo wa ushahidi wao na mashitaka kwa ujumla...

2. "Umafia" wanaoutumia kujipatia nyaraka fulani fulani bila kufuata sheria tena zingine mahakama ikiwa ndiyo custodian wake, imewashitua na kuwashangaza na kuleta panic upande wa Jamhuri hata kujiuliza wamewezaje kupata akili hii...

Hili hata Judge linampa wakati mgumu. Ameingia ktk mtego ambao ili ajinasue ni lazima ajichanganye tu. Na akijichanganya tu atawapa upenyo upande Wa utetezi kupiga nyundo....!!!

3. Wala usiwe na shaka, mtu yeyote anayeshindwa kutetea hoja na akaanza kum - provoke mwenzake, basi tambua kuwa ameshashindwa...

Hawa Jamhuri na Polisi wao, UONGO wao utawekwa wazi zaidi na zaidi very soon...
Usiwe na matumaini kwenye hii kesi, judge, mawakili wa serikali, na mashahidi wao wote ni timu moja, wanafanya kazi kwa kusaidiana kila mmoja kati yao kwa nafasi yake.

Kilichobaki sasa ni kusubiri kukata rufaa tu mahakama ya rufaa.
 
1. Hakika kabisa, hii kesi siyo ngumu. Ugumu unakuja kwa sababu Jaji analazimishwa kutoa maamuzi kwa kupinda sheria

2. Ni sawa na kusema, kutiririka kwa maji ya mto naturally ni rahisi tu. Lakini ukitaka kuyalazimisha maji ya mto yatiririke kurudi yaliko toka, utapata shida sana na automatic hutaweza. Ndivyo anavyotaka kufanya Jaji katika kesi hii, kulazimisha maji yatiririke kupandisha mlima, yarudi yalikotoka...!

KIINI CHA MAWAKILI WA JAMHURI KUKOMAA KUIZUIA BARUA HIYO ISIPOKELEWE NI:

1. Mshitakiwa Mohamed Abdilah Ling'wenya anasema alipotolewa Moshi kwanza alifikia TAZARA police station na baadae Mbweni Police Station. Hakuwahi kupitishwa Central Police DSM...

2. Wao polisi na Jamhuri wanaoshitaki wanasema SIYO KWELI washitakiwa wote 1 Adamoo na 2 Ling'wenya baada ya kutoka Moshi, straight walifikishiwa Central Polisi DSM na baadae Mbweni Police Station na kamwe hawakuwahi kuwafikisha washitakiwa hawa TAZARA Police Station kuteswa kama wanavyodai...

3. Kuthibitisha hili, Jamhuri au upande wa mashitaka umeleta shahidi polisi wanne lakini walioleta sintofahamu zaidi ni hawa wawili;

å Afande Msemwa wa Central Police DSM anayedai ndiye aliwapokea watuhumiwa na kushughulika nao ktk Selo ya C.P.D....

å Afande mmakonde na Mkuu wa Kituo cha Polisi TAZARA anayedai kuwa ktk tarehe hizo wanazotaja watuhumiwa kuwa walipelekwa kituo cha Polisi, TAZARA siyo kweli kwa sababu hakuwahi kuwapokea na hakuna kitu kama hicho ktk kumbukumbu za kituo chake wakati huo yeye akiwa ni kaimu mkuu wa kituo...!!

4. Sasa kwa kuwa polisi hawa wanabisha na ushahidi wao ni D.R za Central Police DSM na TAZARA ambazo pia zilibishaniwa sana na kuonekana ni za kughushi, ilibidi watuhumiwa watumie njia nyingine ili tu ku - prove uongo wa Polisi hawa...

5. Ndipo sasa mshitakiwa wa 2 ndugu Abdilah Ling'wenya akashauriana na mawakili wake kwa niaba yake waombe nyaraka kadhaa toka kwa RPC wa Ilala zitakazoonesha;

å Kama kweli Mkuu wa Kituo cha TAZARA amewahi kukaimu ukuu wa kituo TAZARA kwa nyakati zile alizosema ktk ushahidi..

å Kama kweli kulikuwa na movement order za watuhumiwa hao kutoka Central Police, Mbweni na maeneo mengine. Ndiyo maana wameomba OB, Station Diary, Occurrence Book nk. Nyaraka hizi ni funga kazi na zikifika mahakamani zitaufumua ushahidi Jamhuri wote na watabaki watupu...!

5. Hiyo barua bado haijulikani kama ilipokelewa na kujibiwa na RPC Ilala au la. Lakini kwa steji hii haijalishi sana kama aliipokea au la. La muhimu utetezi wanataka ikubaliwe na kuingizwa kama sehemu ya kielelezo muhimu. Na mengine yatafuata baadae. Na ikikubaliwa, obvious RPC Ilala atalazimika kuzitoa nyaraka hizo kwa mshitakiwa ili zitumike mahakamani kutolea maamuzi. Hili Polisi na Jamhuri hawataki kabisa litokee maana litafunua uongo wa Polisi na itakuwa THE END OF THE GAME...

6. Kwa hiyo, hii barua ya Ling'wenya ikikubaliwa tu iingie kama kielelezo cha ushahidi wa Mohammed Abdilah Ling'wenya inaweza kuwa na athari zifuatazo kwa upande wa mashitaka;

å Kumlazimisha RPC wa Ilala kuwapatia washitakiwa nyaraka hizo walizoomba kitu ambacho kitakuwa hatari sana kwao, maana. huo ndiyo unaweza kuwa mwisho wa uongo wao...

å Inaweza kuukosesha thamani ushahidi wote wa Afande Msemwa wa Central Police DSM na ule wa mkuu wa kituo cha Polisi TAZARA...

Hii ndiyo inayowafanya mawakili wa Jamhuri wapambane kuhakikisha hiyo nyaraka haipokelewi kabisa...!!


Kukatisha ushahidi wa ghafla ni ili kuwapoteza maboya mawakili wa utetezi kwa sababu ni wazi kuwa mmawakili wa Jamhuri walishaelewa hatari iliyoko mbele yao juu ya hili wanalobishana nalo sasa...

Kwa hiyo kujaribu kuwachanganya, waliamka asb, wakafika mahakamani na kutangaza kuufunga ushahidi wao na lengo likiwa ni kuwasitukiza upande wa utetezi wasimwandae shahidi...

Very unfortunately kwao, kumbe shahidi yuko vizuri na mawakili wa utetezi nao wakawa wako sharp...

Kwa hiyo upande wa Jamhuri hawakudhani kuwa shahidi angeweza kuwa na akili Wa kuja na "counter attack" hatari na matata kiasi hicho kwa kuleta ushahidi wa nyaraka strong kiasi hicho hata kutaka kuimaliza kesi hii mapema hivi. Waingereza husema, THEY WERE CAUGHT BY SURPRISE...

Ni mpaka J'3 tarehe 29/11/2021. Hatujui watacheza vipi na Jaji wao. Lakini it's obvious that, Jaji ana wakati mgumu kwelikweli kuamua. It's either awabebe kwa kupinda sheria au asimame kwenye sheria...

Hiyo ni GEAR KUBWA. Hii kesi haina uzito wa kumhitaji TL. Kibatala na wwnzake wameshamaliza kazi. Hakuna kesi hapo...!

By the way, kumbuka kuwa, baadhi ya wanaoitafuta roho yake bado wapo. Mmoja mkubwa wao a.k.a JIWE alishakufa. Subiri nao wafe KIROHO na KIMWILI, kisha ndipo aje...
Mkuu The Palm Tree ,umemaliza kila kitu kwa lugha nyepesi.
Kongole.
Mungu akubariki sana.
 
Back
Top Bottom