Yaliyojiri Mahakama Kuu kesi ndogo ya Mbowe, Superitendent Jumanne Malangahe atoa Ushahidi

pakionekana panazibwa tu watu tunaendelea kuishikajumba ketu tushakazoea
Mshazoea jumba la wizi,ufisadi,kubambika watu kesi,kuteka nk??
Ikosiku vitawarudi ninyi watekelezaji/washangiliaji wa ukandamizaji,ufedhuli na unyimaji haki. MSIMDHIHAKI MUNGU,DUNIA TUNAPITA
 
Inge kuwa nchi zingine kwa tuhuma kama hizi za Ugaidi Mbowe angesota sana Rumande hata miaka 10 bila kesi kuanza.
angalia Taifa kubwa kama USA kuna watuhumiwa wa makosa ya ugaidi wameshikiliwa huko ktk gereza la Guantanamobay kwa zaidi ya miaka 20.
Mboe yeye kila siku anakuja kutalii mahakamani ashukuru sana Tanzania inafuata utawala wa sheria, ingekuwa nchi zingine angesota sana.
Ashukuru sana awamu hii inasimamia utawala wa Sheria ndio maana kesi inasonga.
 

🤔🤔
nao niviongozi wa vyama kama huku kwetu Tz?

tuwekee na majina yao hapa, tuone ukweli wa hicho unachokisema...
 
Ccm n'a Serikali zake hazijawahi kutaka upinzani wa kweli toka wakiitwa TANU. Mnakumbuka wakina Abdalaman Babu, Kambona ,kasilabantu , wakina chifu fundikilq. Mwiisho Sefu sharifu hamad. Hawa wote , wengine wakikimbia nchi kwa kuhofia makesi ya aina hii, wengine walibambikiwa kesi za uhani. Ccm na serikali badirikeni. Watanzania ni wamoja na nchi ni moja. Ipo siku kwa haya mnayowafanyia wapinzani mtafanyiwa au hata kama hampo watoto wenu watafanyiwa ili mradi tu mapokezana madaraka
 
Umeona yaliyomkuta huko Afghanistan? Wale wale aliwasotesha Guantanamo ndio hao hao wamemtimua huko Afghanistan (japo siwapendi magaidi). Hivyo usishabikie mtu kusoteshwa
 
Msikilize huyu:
 

Attachments

  • 2991758_MSTAAFU_KARUME_AKUMBUSHIA_ya_UCHAGUZI_MKUU_2015_-_LIKATOKEA_SOKOMOKO_JINGINE_BA_HIGH.mp4
    24.5 MB
Yaani Ccm wana mgwaya Kibatala. Wanajua uongo wao una kwenda kuwekwa wazi.

Kuna shida mahali.... Jaji anasema shahidi kesho uwepo mahakamani ili maamuzi yakisha tolewa uendelee na ushahidi... Kwa lugha nyepesi ni kwamba pingamizi lina kwenda kutupwa kama kawaida. Hamja muelewa Jaji au??? Nasema huyu ni Luvanda mwingine!!!! Tumkatae kabla hajaenda mbali.. Hamna mtoa haki hapa.
Hapa hakuna kesi kuna ihizo la isidingo na matumizi ya hovyo ya rasilimali za Watanzania.
Tuna takiwa kuli pinga hili kwa nguvu zetu zote.
 
POROJO za LING'ENYA eti anadai alitishiwa silaha [emoji1787][emoji1787]
Hayajakukuta ndugu na shukuru Kwa hilo! Lau Kama yaliwahi kukukuta ungeandika tofauti! Omba Sana Kwa Mola wako yasikukute haya maswaibu ya kuhojiwa polisi kwani hakuna rangi utaacha kuiona! Nape ni rejea nzuri TU wa haya mambo na alikuwa mtu mzito, je, wewe?
 
mimi huwa siwapendi watu wahalifu/waovu.
uhalifu/uovu ni kitu kibaya sana.
siko tayari kumtetea au kuwatetea waovu hata ange kuwa ndugu yangu au rafiki yangu, nikigundua ni mhalifu/muovu lazima nikusaliti.
 
Hapo na mi kaniacha mdomo waziiii. Yaani Jaji ana uhakika kwamba shahidi ataendelea na ushahidi japo hajaaanza hata kuchambua hoja za mawakili wa pande zote mbili. Naanza kuegemea kwenye hoja ya Lema. Mawakili waangalie trend ya mwenendo wa huyu Jaji wafanye maamuzi
Magumu. Lila kitu cha upande wa utetezi kinapuuzwa tu!
 
Despite everything being said, the defence has a very powerful legal team. Any tempering obstructing the public seeing justice being done as far as this matter is concerned, will wash away integrity of a presiding judge trying safer midwifery service to the government.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…