Yaliyojiri Mahakama Kuu Kesi ya Ugaidi inayomkabili Mbowe na wenzake. Shahidi wa 12 Luteni Denis Urio kuendelea kutoa ushahidi Februari 01, 2022

Mkuu niaelewa na sababu ya msimamo wako. Uri kesha hojiwa. Mbowe alikataa kutoa maelezo polisi na akaahidi atafanya hivyo mahakamani. wakati wake hajafika. wache ufike ndipo tujadiliane.
Kuhusu simu- nina hakika taariifa za kuchunguzwa simu za Mbowe simu yake haiitajiki. Zipo tayari na zinamuunganisha na mashahidi na watuhumiwa wenzake
 
Safi Sana,
Kibatala Yani unataka URIO hada atapike nyongo?
 
JF administration, mfuteni huyu anachafua jukwaa lenu!
Thubutu- hili si gazeti la CHADEMA ni public sphere. Naelewa CHADEMA MMEJAA HUMU LAKINI na tusio CHADEMA TUMO.
WanIfute uone kwa ushauri wako na hivyo vigezo na masharti . NDIO UTAKUWA MWISHO WA JF KWA HUKUMU YA MAHAKAMA
 
Hii kesi jamuhuri ingeipiga tu chini, muungwana akivuliwa nguo huchutama!
Upo sahii ila jambo hilo limepitwa na wakati mvua imenyesha kila palipovuja pamejulikana muda si mrefu maduka yatauza mabati na musumari mafundi wataingia kazini kupaua kila nyumba iliyovuja ni suala la muda tusibiri tuone
 
Onyesha wapi mbowe katenda ugaidi na kiongozi gani kadhuria na kituo gani kimelipuliwa na miti ya wapi ilikatwa!?
 
Naomba kuongeza neno uozo mkubwa kuna wanaokalia nafasi kwenye taasisi kwa thamani ya elimu isiyokidhi haja
 
Mkuu point- halafu imeweka watu pale Mh. Kibatala na Genge lake wanauliza maswali hayana maana siku 3
Wewe ni wa kupuuzwa tu. Hakuna haja ya kuhangaika na mtu ambae ubongo wake ni mavi, Ni kupoteza muda.
 
Kaulizwa swali zuri kwamba kwanini Simu za Mbowe hazijakamatwa kuthibitisha mawasiliano baina yao!????? Wanajua hayo mawasiliano wameyachonga ndo maana wana simu za urio ila za Mbowe hawakuzikamata maana ni mchongo
Ndipo leo alipocheka pale alipobambwa kujitumia meseji kwa simuyake ilipobainika mpumbafu sana huyu Urio
 
Mkuu mbona Hilo suala la Mawakili wa Utetezi kuivua nguo Serikali lilishafanyika toka mwanzo. Hili suala limefika hapa lilipo kwa nguvu ya Mamlaka na siyo kisheria.
 
Wewe ni wa kupuuzwa tu. Hakuna haja ya kuhangaika na mtu ambae ubongo wake ni mavi, Ni kupoteza muda.
Shahidi: Hii ilitoka kwangu kwenda kwa Freeman Aikael Mbowe.

Meseji nyingine: Hao wawili kwa kuanzia siyo mbaya hawawezi kutelekezwa, watakuwa na Mimi, fulltime, wamekwambia wanataka nini?.

Shahidi: Hii ilitoka kwa Freeman Aikael Mbowe kuja kwangu.

Hao wawili ni Halfan Bwire na Moses Lujenge.
 
Mkuu mbona Hilo suala la Mawakili wa Utetezi kuivua nguo Serikali lilishafanyika toka mwanzo. Hili suala limefika hapa lilipo kwa nguvu ya Mamlaka na siyo kisheria.
Shahidi: Hii ilitoka kwangu kwenda kwa Freeman Aikael Mbowe.

Meseji nyingine: Hao wawili kwa kuanzia siyo mbaya hawawezi kutelekezwa, watakuwa na Mimi, fulltime, wamekwambia wanataka nini?.

Shahidi: Hii ilitoka kwa Freeman Aikael Mbowe kuja kwangu.

Hao wawili ni Halfan Bwire na Moses Lujenge.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…