Yaani ni full kujichanganya...
Hebu fikiri hivi;
1. Simu zinakadhiwa na kushikiliwa polisi tangu tarehe 12/8/2020...
2. Shahidi anakutana nazo mahakamani Januari, 2022...!
3. Lakini cha ajabu simu hizo zinaonekana kutumika hapa katikati. Zimetokaje polisi? Wao wabumba kesi bila shaka wanajua..
4. After all kuna hili very interesting, kuwa, hakuna uthinitisho/risiti ya makabidhiano iliyopelekwa mahakamani kuonesha kuwa hizo ni mali za Urio na zilikuwa polisi kwa uchunguzi...
5. Tuwape kongole jamani mawakili wa upande Wa utetezi kwa sababu wanafanya kazi kubwa na ngumu sana kumwokoa M/Kiti toka ktk midomo ya hawa simba wala watu...
Wanaendelea kuthibitisha pasipo shaka kuwa, mashtaka hayana ukweli wa uhalisia kwa sababu ni ya uongo wa kutungwa na watu wakiwa wamekaa ofisini...!!