Yaliyojiri Mahakama Kuu Kesi ya Ugaidi inayomkabili Mbowe na wenzake. Shahidi wa 12 Luteni Denis Urio kuendelea kutoa ushahidi Februari 01, 2022

Kama watatumia principal ya to prove beyond reasonable doubt..hamna kesi hapa

Maana yake Ndio hatari zaidi:: The prosecution must convince the jury that there is no other reasonable explanation that can come from the evidence presented at trial.
 
Hivi
Maana yake Ndio hatari zaidi:: The prosecution must convince the jury that there is no other reasonable explanation that can come from the evidence presented at trial.
Tanzania kuna jury? Au hakimu/jaji ndo anajivika ujury?
 
Comte acha mambo ya misimamo, mimi sina chama ila tu ukweli lazima usemwe kwa maslahi ya taifa letu maana huu ujinga wa Kingai, Urio na waliowatuma unatugharimu Sana sisi walipa kodi.

Ila ni vizuri sasa nawe unaanza kuona ukweli wa mwenendo wa kesi hasa ushahidi mfu wa upande wa washtaki Ndiyo maana unasema tumusubili Mbowe atoe maelezo yake, ila mpaka sasa kazi ya Mbowe ni ndogo Sana maana tayari Urio amekwisha imaliza kesi hii kwa kuonesha ushahidi wake usioaminika kutokana na kuwa na matobo mengi.

Naendelea kukumbusha kuwa kitendo cha Mbowe kuwasiliana au kutumiana hela au kukutana na Urio hakiwezi kuwa kiashiria cha nia ya kutenda kosa lolote, achilia mbali ugaidi Hadi hapo yatakapo patikana maneno au nyenzo yoyote ya kuthibitika kufafanua lengo la mawasiliano hayo.

Kama kwa hapa Urio ameshindwa kuthibitisha nani mwingine wa kuja kuthibitisha?
 
Kibatala: Tarehe 11 August 2020 kwa Ushahidi Wako Ndiyo Ulikwenda Kutoa Maelezo Ushahidi Wako Kwa Inspector Swila.. Inspector Swila alikufafanulia Kwanini alisubiri Mpaka Mwezi Mmoja Baadae?

Shahidi: Hakufafanulia

Kibatala: Tukisema Kuwa Mlitunga Kesi Mapema Kisha Baadae Ndiyo Makaanza Kutafuta Watuhumiwa, Nitakuwa Nakosea Kwa Fact hizo
 
Did you have a nice weekend?

Like speak again[emoji23][emoji23][emoji23]

Hivi majeshi yetu mbona upstairs hawako sawa?
ndg yangu asb nusu nindoshe laptop yangu nilicheka chekasana nikasema kweli dunia tambara bovu

Huyu jamaa nadhani kakata tamaa
 
Wamekengeuka? Kukengeuka maana yake nini? Wameshawishiwa wakashawishika kwenda kufanya uhalifu, imekuwaje si wanaviapo hao? Imekuwaje? Walisahau kuwa wana viapo? Au askari wamekuwa raia na si makomandoo tena maana wameshawishika kilani mno! Basi haya! Nawaza peke yangu.
 
yaani hiyo ndiyo umeona ni point kubwa saaaana aliyoiongea kibatala? hopless kibatala hana jipya anamfungisha tu mbowe hana point y akumnasua na huo ugaidi wake
we mpuuzi flani tu
 
Ngoja tuiweke kwenye Pdf moja itapendeza
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kinachoniuma kwanini awaingize akina Adamoo na khalifani kwenye dili za ugaidi bila wao kujua.Alafu yeye yupo nje anakula maisha.
Ugaidi unafadhiliwa kwa laki tano
 
Nyie akili zenu za kishetani kabisa.
Hamuwezi kuona hii ni kesi feki?
Shame on you Satans.
 
Tuwape kongole jamani mawakili wa upande Wa utetezi kwa sababu wanafanya kazi kubwa na ngumu sana kumwokoa M/Kiti toka ktk midomo ya hawa simba wala watu...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…