Frustration
JF-Expert Member
- Jan 30, 2018
- 3,134
- 4,124
Wabadilishane tu, Magereza waje uraiani na ukoo wa Kingai uwe MagerezaKuna shida kwenye askari wetu,walipaswa wakafanye kazi zingine.
Na ilikuwa inaonekana ni kipindi inaelekea kwenye uchaguzi.. Jamaa hayupo sawa kichwani"Siku zimeisha" Lina connection gani na swali aliloilizwa?
Tayari Urio ameshaharisha damu kwenye cross examination.Sasa ni bayana kila kitu hadharani, yote yametokea kwa sababu ya uzalendo wa luteni Urio.
Tunawaomba na jeshi la polisi muwe kama Luteni Urio mtete nchi yenu na kuilinda dhidi ya vitendo vya kigaidi
Mimi nilivyomuelewa ni kwamba, wale makomandoo hawakua magaidi na kwamba hawakua wakijua nini wanaenda kufanya. Sio mtu mwingine ni hao makomandoo tuNashon: Kwa hiyo ulienda hadi Morogoro kukutana na magaidi nakuwa Mobilise wafanye ugaidi?
Shahidi: HAPANA SIYO MAGAIDI
Mahakama: Kicheko
HATIMAYE URIO KAKIRI MBOWE SI GAIDI
Majibu ya mjingamimi kabisaNashon: naomba nikukabidhi Kielelezo hiki, unitafutie Meseji ya Kupanga Ugaidi
Shahidi: "Kaka Wale Mtu 3 au 4 ni muhimu sana, Siku zimeisha"
Nashon: Wewe ulivyosoma Kuna Ugaidi, ukaona Kuna Umuhimu sana wa kuleta mahakamani
Shahidi: Kwa sababu walikuwa wanahitajika
Ndugu zangu wachanga Urio keshawaribia Jina, hili jina likataeni[emoji3][emoji3]
Kama sio magaidi wanafanya nini ndani hadi muda huu?Mimi nilivyomuelewa ni kwamba, wale makomandoo hawakua magaidi na kwamba hawakua wakijua nini wanaenda kufanya. Sio mtu mwingine ni hao makomandoo tu
Kuna mjinga mmoja anajiita mjinga kweli leo alikuwa anashupaza shingo aje aone majibu ya shahidi wake.Huyu ndiye shahidi aliyetegemewa kuwa anakuja kumaliza mchezo!
Hati ya mashtaka inasema vikao vya njama ya kufanya ugaidi vilikaa morogoro na hawa watuhumiwa, alafu leo shahidi urio anasema mpaka wanakaa kwenye hicho kikao na kumaliza mjadala hawa watuhumiwa hawakujua kuwa wanaenda kufanya ugaidi.Mimi nilivyomuelewa ni kwamba, wale makomandoo hawakua magaidi na kwamba hawakua wakijua nini wanaenda kufanya. Sio mtu mwingine ni hao makomandoo tu
Mmmmmmmm! Kwa aina ya maswali aulizwayo, na majibu yake, nina shaka na usalama wake. Akina Kingai wasije wakampoteza, ili asiendelee kuwaumbua kwa kuingia chaka kirahisi hivyo!Urio kaamua kuharibu
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]Hati ya mashtaka inasema vikao vya njama ya kufanya ugaidi vilikaa morogoro na hawa watuhumiwa, alafu leo shahidi urio anasema mpaka wanakaa kwenye hicho kikao na kumaliza mjadala hawa watuhumiwa hawakujua kuwa wanaenda kufanya ugaidi.
Sasa jiulize hicho kikao alichokimobilize urio hapo morogoro kinaitwaje kikao cha kupanga ugaidi wakati wahudhuriaji wa kikao hawajui kuwa wameitwa kwa ajili ya kwenda kufanya ugaidi????????
Jamani tutafute pesa tusomeshe watoto shule nzuri kujiepusha na aibu kama hizi.
Mimi sielewi, Bwire anafanya nini mahabusu....Inauma sana,vijana wamesota gerezani kwa sababu ya ujinga wa Urio yeye atakula bata mtaani
Shida ya kukaa polini kulinda vifaru...Urio ni kituko kuliko hata Jumanne alivyoboronga
Mwamba yuko smart sana amemuachia Urio msala ambao alitaka kum'bambikia kwa kushirikiana na kina kingai🤣Bora zile.chartting.asingezionyesha..
Kumbe yeye ndio.aliemfundisha uhalifu mbowe.
Kama anamuelekeza asitumie.namba.yake hovyo kabisa.
Halafu analalamika mbowe kanizimia mawasiliano!!
Kwa maana halisi unataka kusema anayedhamiriwa ni Mbowe si ndiyo? Kwa hiyo Huyo Mbowe atahukumiwa Kwa dhamira ambayo hakuitoa popote maana alopokaa na vijana hao kupanga ugaidi mpaka Sasa. Mtu pekee (Kwa mujibu wa maneno yake) aliyekaa na Mbowe kupanga/kuongelea uhalifu au tuseme ndo Ugaidi ni Urio ambaye siyo mshtakiwa. Sasa hao wengine wako mahakamani Kwa kesi gani?Mimi nilivyomuelewa ni kwamba, wale makomandoo hawakua magaidi na kwamba hawakua wakijua nini wanaenda kufanya. Sio mtu mwingine ni hao makomandoo tu