Yaliyojiri Mahakamani kesi ya Mbowe na wenzake: Shahidi wa 13, Tumaini Sostenes Swila kuendelea kutoa ushahidi wake Februari 08/2022

... shukrani sana Mkuu Nyendo kwa kazi hii njema! Nasi tuko tayari kufuatilia shauri hili muhimu kwa mustakabali wa nchi na vizazi vyake.
Mkuu ni mapema sana ngoja mpaka jioni tukiweka vyanzo vingine maana Nyendo ni editor mzuri na huongeza mipasho
 
Yaani huyu kakarishwa tu kusema sio sahihi,hata akiulizwa ulienda msalani muda mfupi uliopita atasema sio sahihi[emoji3][emoji3]
Nashon: Katika Ushahidi Wako Ulisema Uliitwa Tarehe 14 July 2020 kwa Mkurugenzi, Je ni sahihi

Shahidi: Siyo Sahihi

Nashon: Wacha nisome... Wakili anasoma

Shahidi: Ni sahihi
 
Nani anaweza kuandaa Rasimu ya Kitabu kuhusu maisha ya Freeman Aikael Mbowe.

Kitabu kichapwe mwaka 2030 kwa ajiri ya vizazi vijavyo katika vita ya kupigania demokrasia na haki za binadamu Tanzania.

Tittle : The life and times of Freeman Aikael Mbowe. A true son of the soil.

FAM ni tunu kwa wapenda haki wote,tumuweke FAB katika maandishi kwa faida ya vizazi vijavyo. Nipo tayari kutoa fedha na nyenzo kumuweka FAB katika maandishi.

Sina chama chochote lakini napenda ujenzi wa demokrasia na haki za binadamu.
 
Hivi Mh. wakili Nashon wakati anasoma HGL A- level na Geography O- level hakufundishwa map reading- ALIPATAJE UWAKILI HUYU?!
 
Mbowe siyo son of the soil- Mbowe ni Mnyasa wa Malawi
 
Anasema siyo sahihi.akisomewa kielelezo/ushahidi anasema ni sahihi. Wenye picha yake atuwekee huyu utopolo
 
Leo lazima ifanyike cross examination so Afande swila kwa kuonesha ushirikiano angevaa kabisa pempasi

Hizi habari za kwenda chooni mara kumi kumi ni kupotezeana muda tu na kufanya kesi ionekane ndefu
maswali ya wakili msomi yamemvuga tumbo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…