Mchochezi
JF-Expert Member
- Feb 29, 2012
- 10,962
- 7,830
Leo ndio Leo pale Mkwakwani Mambo atakapomkaribisha Mnyama aliye kwenye form ya hatari sana pale Mkwakwani.
Simba itaingia katika mchezo wa leo ikiwa na morali ya hali ya juu baada ya kushinda mechi 3 mfululizo zilizopita chini ya staa hatari zaidi katika ukanda huu wa Afrika Mashariki, Emmanuel Okwi aka Super Okwi.
Ikumbukwe Mgambo hajawahi kupoteza mechi dhidi ya Simba anapokuwa Mkwakwani. Hivyo mechi ya leo itakuwa ngumu.
Mechi ni saa kumi jioni.
Kikosi cha Simba
1.Mapunda
2.Kessy Ramadhani
3.Tshabalala
4.Isihaka
5.Moshid
6.Abdi Banda
7.Ramadhani Singano
8.Jonas Mkude
9.Ibrahim Ajibu
10.Said Ndemla
11.Okwi
==============
==============
Matokeo ya Mwisho: Mgambo 2 - 0 Simba
Simba itaingia katika mchezo wa leo ikiwa na morali ya hali ya juu baada ya kushinda mechi 3 mfululizo zilizopita chini ya staa hatari zaidi katika ukanda huu wa Afrika Mashariki, Emmanuel Okwi aka Super Okwi.
Ikumbukwe Mgambo hajawahi kupoteza mechi dhidi ya Simba anapokuwa Mkwakwani. Hivyo mechi ya leo itakuwa ngumu.
Mechi ni saa kumi jioni.
Kikosi cha Simba
1.Mapunda
2.Kessy Ramadhani
3.Tshabalala
4.Isihaka
5.Moshid
6.Abdi Banda
7.Ramadhani Singano
8.Jonas Mkude
9.Ibrahim Ajibu
10.Said Ndemla
11.Okwi
==============
==============
Matokeo ya Mwisho: Mgambo 2 - 0 Simba