vp matokeo huko ?
Ni kweli juzi mikia mmechukua VPL naskia kesho mtakuwa mnawakilisha taifa kwenye kombe la CUF
Hilo harina ubishi kama simba leo atafungwa huwa wanakamia timu ya yanga pekee!
Mapumziko sasa bila bila,hakika simba wanaonekana wepesi
Hilo harina ubishi kama simba leo atafungwa huwa wanakamia timu ya yanga pekee!
Kwasababu mleta uzi ameitakia ushindi Mtibwa!
Pole zenu ambao mna machozi ya kuchezea wilki iliyopita mliishangilia Yanga mkalia navleo mnatafuta mcba kwa kuishangilia mtibwa na kifaru wenu
Mnyama mkali wa porini kama uliweza kutafutana malapa ya kijani na njano yaliyoisha na yamejaa matope ya pale jangwani na hukuwa na kinyaa kabisa kwa nini ushindwe kutafutana mali ghafi inayotengeneza sukari kutoka kwenye mashamba ya Manungu?