Yaliyojiri mechi ya Simba na Mtibwa sugar tar. 14/03/2015

Yaliyojiri mechi ya Simba na Mtibwa sugar tar. 14/03/2015

haya NdaLa nendeni FIFAAA nauli mmepataaaaaaa Mumewenu Okwiiii katupiaaaa tenaaaaaaaaa
 
Ha ha ha Kandambili poleni sana, mbaya wenu Okwiiiiiiiiiiiiiiii
 
Tumeshinda wakuu ili sisi huku mikoani tuanze kujitapa na maneno ya vijiweni isije ikawa tunaongoza tu alafu mwisho wasiku droo au kufungwa ikawa aibu
 
Aghrrrrrr
 

Attachments

  • 1426346002720.jpg
    1426346002720.jpg
    30.1 KB · Views: 631
Back
Top Bottom