Yaliyojiri mechi ya Simba na Mtibwa sugar tar. 14/03/2015

Yaliyojiri mechi ya Simba na Mtibwa sugar tar. 14/03/2015

Well done SSc. Tumechupa hadi Point 29 sasa
 
Leo nimeikosa game, iv Ajibu kacheza? Km atakuwa kacheza Yanga sasa wataenda fwifwa kudai point 9 za Prisons, Yanga na Mtibwa. Hahahaha natania tu watani nendeni mkadai point zenu tuu. Mnyama bwana rahaaaa
 
Mtibwa nao wanakwenda FIFA wanalalamika kwamba Okwi hapaswi kufunga goli moja kama la Yebo Yebo ni uvunjifu wa sheria.
 
Wadau nikuwa safarini Tanga ndio nimeingia Dsm muda huu. Nafurahi kusikia tumetupia Okwi moja.
Sikusikiliza nikiwa njiani kwa kuwa TBC Fm njiani magumashi. Wadau wa Mnyama mkali nani katupia?
 
Mkuu Viol nimekupata, Okwi ameendelea kutuulia ndugu zetu tena.
 
Last edited by a moderator:
Mtibwa nao wanakwenda FIFA wanalalamika kwamba Okwi hapaswi kufunga goli moja kama la Yebo Yebo ni uvunjifu wa sheria.

Kwa kweli huu ni uvunjifu wa kanuni za Ushindi kifungu cha 2012 cha Ligi na kile cha 2013 na 2014 cha Mtani Jembe.
 
Back
Top Bottom