Yaliyojiri mechi ya Simba na Mtibwa sugar tar. 14/03/2015

Yaliyojiri mechi ya Simba na Mtibwa sugar tar. 14/03/2015

kumbe nawe ni mnyama
1421356311467.jpg
 

Attachments

  • 1413646730960.jpg
    1413646730960.jpg
    15.4 KB · Views: 427
Leo tena uwanja wa Taifa kutakuwa na mpambano wa kukatana shoka kati ya Simba SC vs Mtibwa suger.

Mpambano huo utakuwa muhimu sana kwa kila timu, kwani timu zote zitakuwa zinasaka point 3 ili kujiweka katika mazingira mazuri katika msimamo wa ligi.

Naitakia Mtibwa ushindi mnono katika mchezo wa leo.

FULL TIME SIMBA 1-0 MTIBWA. mfungaji Emanuel Okwi dakika ya 90.

Hongereni simba kwa ushindi.


Baab kubwaaa!!
 
Kuna kibibi leo sikioni kwenye comments sijui kimepatwa na masaibu gani?
 
Gud guda gudest

Huyu jamaa mwaka huu anachukua kiatu chake. Hivi mara ya mwisho mchezaji wa wale vibonde wetu kuchukua kiatu ilikuwa mwaka gani jamani?
Naombeni wenye encyclopedia watusaidie ni miaka mingi sasa sijawasikia.....
 
wadau kuna vikao vinaendelea muda huu mtibwa wameitwa na manji wote pamoja wanataka kwenda kushtaki Fifa kuwa Okwi hatakiwi kucheza ligi ya Bongo. pia wanasema yale magoli anayofunga anakuwa ameotea. lakini wanajichangana wanasema anapigaje yale mashuti ya mbali vile kana kwamba golini kwa wapinzani hakuna watu wakati anajua kuna kipa anaweza kumuua. so mashtaka ni meng hivi sasa manji anawataka wote waelekee makao makuu ya fifa na yeye atalipia nauli kuwa kwanza okwi hakutakiwa kucheza ligi ya bongo wanasema aende kwao au aende ulaya hawamtaki. anawadhalilisha sana.
 
NAFURAHI KWA USHINDI LAKN NISEME UKWELI, KIWANGO CHA LEO KILIKUA CHINI SANA, NAMPONGEZA SANA OKwi kwa kujituma muda wote wa mchezo, ila ukweli ni kwamba kuna wachezaji wanahitaji mapumziko kama vile Mkude Jonas, hayupo kabisa uwanjani, kadhali karibu viungi wite wanaoiga back oass I dont know why, yule Simon naye anacheza kimadeni deni nadhani, na heri Danny afungashe tu...kwa waliotaka Maguri atoke ni kutoelewa falsfa ya mpira, kwanza kama anegingia Awadh ni kwamba tungekuwa tunajitakia draw kabisa, kifupi Simba haina striker wa kusimama kwa sasa na full beki zinapanda vizuri hasa Kessyb lkn wanakosa umahiri wa kupiga ndizi au miezi

Maguri anachoka kabla hajakwisha na washabiki wanachangia kuzidi kumuondoa mchezoni kwa makelele yasiyo na tija

kwa mara ya kwanza tumeshid na huku roho yangu ikiugulia kiwango, tumekuwa kama homa ya vipindi
 
Kuna kibibi leo sikioni kwenye comments sijui kimepatwa na masaibu gani?

Kibibi matusi kimevurugwa,hakijui ya kesho yatajuaje. Kameona katafute kusahauliwa ili kesho kakivurugwa watu wawe wamekasahau.
 
NAFURAHI KWA USHINDI LAKN NISEME UKWELI, KIWANGO CHA LEO KILIKUA CHINI SANA, NAMPONGEZA SANA OKwi kwa kujituma muda wote wa mchezo, ila ukweli ni kwamba kuna wachezaji wanahitaji mapumziko kama vile Mkude Jonas, hayupo kabisa uwanjani, kadhali karibu viungi wite wanaoiga back oass I dont know why, yule Simon naye anacheza kimadeni deni nadhani, na heri Danny afungashe tu...kwa waliotaka Maguri atoke ni kutoelewa falsfa ya mpira, kwanza kama anegingia Awadh ni kwamba tungekuwa tunajitakia draw kabisa, kifupi Simba haina striker wa kusimama kwa sasa na full beki zinapanda vizuri hasa Kessyb lkn wanakosa umahiri wa kupiga ndizi au miezi

Maguri anachoka kabla hajakwisha na washabiki wanachangia kuzidi kumuondoa mchezoni kwa makelele yasiyo na tija

kwa mara ya kwanza tumeshid na huku roho yangu ikiugulia kiwango, tumekuwa kama homa ya vipindi

Hii kidogo itawafurahisha watani zetu japo watadhani tunawatania ili waje tuwafunge tena. Ni kweli njooni turudiane mtatufunga.
 
Back
Top Bottom