Mechi za Azam na Yanga siku zote ziko hivi ,Yanga anaanza kushinda mapema na anapata nafasi nyingi wanarelax then Azam wanakuja kusawazisha/kushinda.Yanga huwa anaanza vizuri Azam anamaliza vizuri
Yametimia tena Wa Uwanja wa Taifa. Wale "Wakimataifa Yanga Leo wamekiona cha mtema kuni mbele ya klabu ya Azamu.Yanga timu yenye kucheza Moira wa kasi pasi fupifupi ila Magazetini wameshindwa kuitwaa ngao ya hisani.Narudia tena Yanga acheni kucheza Moira Magazetini, Uchawi Na Kuonga marefa.Moira in Sayansi.Heko Azam