Yaliyojiri Mechi ya Yanga vs Kagera Sugar Leo 18/03/2015! VPL

Yaliyojiri Mechi ya Yanga vs Kagera Sugar Leo 18/03/2015! VPL

Zoezi lilikua zuri ngoja twende kwa diamond platinum,,, nimemuelewa muro Simba si size yetu.
 
Haya leo nataka nikuone container......Ila sidhani kama utakuja kwa aibu hii ya leo. ..
Teh teh teh
 
Last edited by a moderator:
Dah kwelii simba sio mpinzani wetu tena jamani

so sad soon tutaiaga kwenye hii ligi ila si maombi yangu kwa mungu
 
te te te te...

mgambo waliwadondokea simba kama lile kontena ililodondokea basi letu jamani yaani kila anaetaka kutoka anaishia kuminywa ..uwiiiiii we mgambo wewee ndio nini sasa si ungefunga kamoja tu mbona simba wanashinda kamoja tu siku wakishinda....anyway nasubiri msemaji wao
 
mgambo waliwadondokea simba kama lile kontena ililodondokea basi letu jamani yaani kila anaetaka kutoka anaishia kuminywa ..uwiiiiii we mgambo wewee ndio nini sasa si ungefunga kamoja tu mbona simba wanashinda kamoja tu siku wakishinda....anyway nasubiri msemaji wao

Msemaji mwenyewe yanga dam
 
Mgambo JKT nyie kibokooo mmewafanya panya road, watalala na njumu leo.
Cha ajabu yule anayefunga nje ya 18 naye kafungwa 2-0.
 
Simba yao mabonanza tuu, ligi yoyote inawafanya vibaya!
 
Asante sana wachezaji wa Yanga kwa kufunga midomo ya mikia!kimyaaaaa
 
Back
Top Bottom