Simba iko gonjwa...
Full Time:
Yanga 2-1 Kagera Sugar.
Mgambo 2-0 Simba.
eeheeee nifah Bantu lady Makoye Matale & others ya kweli haya au mnanogesha tu jukwaa
au Bantu lady umekosea hapa
By Bantu lady
Mgambo JKT 2 - Simba SC 0.
Source: TFF website
View attachment 235764
Kuna makosa katika msimamo huo, TFF warekebishe makosa hayo mapema. Simba amecheza michezo 19 siyo 20, Simba ana pointi 29 siyo 30.
Kuna makosa katika msimamo huo, TFF warekebishe makosa hayo mapema. Simba amecheza michezo 19 siyo 20, Simba ana pointi 29 siyo 30.
Kuna makosa katika msimamo huo, TFF warekebishe makosa hayo mapema. Simba amecheza michezo 19 siyo 20, Simba ana pointi 29 siyo 30.
Kaka NGANU upooo??? Huku mambo mazuri tu.
Kama simba walivyotawala mchezo wao dhidi ya mgambo jkt lakin mwisho wa game simba ikachalazwa bakola mbili za nguvu.Kagera licha ya kutawala soka kwa muda mrefu, wamekumbwa na janga la Kitaifa la umaliziaji na hasa dk za mwishoni kabisa, Hongereni Yanga..ALUTA CONTINUA
Haruna Niyonzima-kadi nyekundu hatacheza.
Juma Said Makapu-Kadi tatu za njano hatacheza.
Kelvin Yondan-kadi tatu za njano hatacheza.