Yaliyojiri mechi ya Yanga Vs Simba Feb 20, 2016 Yanga yapaa kileleni

Yaliyojiri mechi ya Yanga Vs Simba Feb 20, 2016 Yanga yapaa kileleni

Leo simba lazima abebe mimba maana huu mzigo anaopigwa si mchezo
 
Wakuu: Ni hakika kabisa leo unyumba sipewi maana tangu asubuhi naangaika na hii simba....Nitafutiwe mchepuko aisee
 
Hawa wanaozimia zimia wa yanga nini tatizo??
 
Kaka Mashimba1 vipi tena? Ulisema utakuwa karibu, kulikoni tena hata pua siioni!!!
Hahahahaaaaa kwa niaba ya kaka Makoye Matale popote ulipo Sabato njema baba...
#teamyangaforever#
 
Kwa hiyo mwaka mwingine tena mikia hawatakwea pipa kwenda kwenye soka la majuu !!!!!
 
Wakuu: Ni hakika kabisa leo unyumba sipewi maana tangu asubuhi naangaika na hii simba....Nitafutiwe mchepuko aisee
Hahahahaaaa na unyimwe tu maana hakuna namna.
Na kama umevaa minguo yako mekundu hata mchepuko hupati,wadada tunapenda wanaume wanaoishabikia Yanga.
 
Back
Top Bottom