Yaliyojiri Mkutano Mkuu Maalum wa CCM. Kinana apita kwa kura zote 1,875 zilizopigwa

Yaliyojiri Mkutano Mkuu Maalum wa CCM. Kinana apita kwa kura zote 1,875 zilizopigwa

Kwanii CCM ikitawala milele Kuna shida gani?. Nini kinchokuumiza?. Unatukana watu wanuka kwapa kisa wapo upinzani?. Acha dharau zako,

Magufuli akichukia chadema mwako ni sawa ? Ila chadema wakimchukia Magufuli sio sawa?

.Kuna watu walikuwa na dharau zaidi yako na walijiona miungu ila walifukiwa Chini huku waliowadharau wakiendelea kupumua.
CCM ina kila sababu na sifa za kutawala kwa muda mrefu hii nchi, mapungufu yao tutayavumilia.

Ila awa wabaguzi wa wazi wazi tena kwenye ukabila na udini hawatufai hata kidogo.

Uchaga na ulutheri wa Chadema ni bendera nyekundu kwa wenye akili timamu.
 
CCM ina kila sababu na sifa za kutawala kwa muda mrefu hii nchi, mapungufu yao tutayavumilia.

Ila awa wabaguzi wa wazi wazi tena kwenye ukabila na udini hawatufai hata kidogo.

Uchaga na ulutheri wa Chadema ni bendera nyekundu kwa wenye akili timamu.
Mpuuzi wewe nchi italiwa mpka mwisho
 
Chadema ni hovyo kabisa, wanapoteza muda kushambulia wasukuma na hayati, huku ccm akichekelea, watakaposhtuka kurudi kwenye siasa tayari CCM na la kuwashambulia, kwamba ni chama kinachohamasisha ukabila na kutoheshimu marehemu, binadamu akishafariki mnamsetiri siyo kumbagaza.

Hovyo ni yupi Kati aliyepo kwenye vyombo vya maamuzi au aliyeko nje ya vyombo vya maamuzi? Yani unaiita Chadema hovyo ambayo haipo bungeni wala kwenye halmashauri na CCM iliyopo bungeni na kwenye halmashauri unaiona ya maana. Kweli unatatizo.

Bungeni na kwenye halmashauri ni CCM pekee, chadema unawalaumu kwa lipi?.
Kura muipe CCM halafu lawama muwape CHADEMA huo Ni ukichaa.

Halafu Chadema itafanya siasa wapi wakati ni miaka sita sasa mikutano imepigwa marufuku. Chama kitajieneza je?. Wakati chadema wanakamatwa kwenye mikutano yao ya ndani nyie ndio mlikuwa mnasifia. Leo Tena mnailaumu.
 
Hahaaa yule balozi wa kijiji kule kijijini malawi aka kataa wahuni ana hali gani huko, soooma kwenye ramani
 
Kinana ashinda umakamu mwenyekiti CCM kwa kura zote za wajumbe 1875

Hakuna kura iliyoharibika
 
Eeeh...basi Kazi iendelee

Ex0TRJSU4AIUpVz.jpg
 
Back
Top Bottom