Chachu Ombara
JF-Expert Member
- Dec 11, 2012
- 6,067
- 10,938
Baada ya Dr. Magufuli kufanya mkutano jimbo la Bukoba Mjini, leo atakuwa na mkutano Mjini Kayanga Jimbo la Karagwe mkoani Kagera.
Updates na picha nitaweka kadri ya uwezo wangu...
Akifanya Push-ups kuonesha yuko fit kuwa Rais wa JMT.
Updates na picha nitaweka kadri ya uwezo wangu...
Akifanya Push-ups kuonesha yuko fit kuwa Rais wa JMT.