Yaliyojiri Ngao ya Jamii; Simba yaigonga Namungo 2-0 uwanja wa Sheikh Amri Abeid, Arusha

Je mapengo uliyoanzishia uzi muda ule na mapengo yaliyopo sasa yanalingana? Muda ndio kipimo kizuri sana wa mambo.
Ngoja tusubiri, Ila tunashukur Wana Yanga kwa Morrison.
 
naona morrisoni analengo lakuwaumiza nyoyo wanayanga, sipati siku tukikutana nao.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…