sembo
JF-Expert Member
- May 25, 2011
- 4,350
- 3,451
Ndo hii hii Mkuu.. Hawa Mbeya City wana bahati sana.. Ila ole wake anaeenda kukutana na mnyama katika gemu ijayo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndo hii hii Mkuu.. Hawa Mbeya City wana bahati sana.. Ila ole wake anaeenda kukutana na mnyama katika gemu ijayo.
Hii mechi hawakuroga!
Nimeangalia mpira leo,au yule mganga aliyewasaidia mechi na Yanga hamkulipa leoNdo hii hii Mkuu.. Hawa Mbeya City wana bahati sana.. Ila ole wake anaeenda kukutana na mnyama katika gemu ijayo.
mngeroga kwanza kama jadi yenu..Ndo hii hii Mkuu.. Hawa Mbeya City wana bahati sana.. Ila ole wake anaeenda kukutana na mnyama katika gemu ijayo.
Hakuna cha mganga wala nini Simba kiwango chini...waliwafunga Yanga kwa sababu wachezaji Yanga wana mgomo wa chinichini .....Simba mnaenda Bukoba kupigwa katereroNimeangalia mpira leo,au yule mganga aliyewasaidia mechi na Yanga hamkulipa leo
Kwenye mzunguko wa tatuNdo hii hii Mkuu.. Hawa Mbeya City wana bahati sana.. Ila ole wake anaeenda kukutana na mnyama katika gemu ijayo.