Mdadamwema.
Senior Member
- Aug 7, 2014
- 156
- 173
Ndotoni?? We suburi uone.Aisee uko ndotoni ama!
Baada ya Raila na Atwoli kwenda ndo wakawaambia watulize mzuka eti?!Citizen wameamua kutuliza mzuka ila kwa ujumla kura zilizobakia Ruto hatoboi 20K. Believe me. Hata maandalizi yanayoendelea inaonyesha wazi ni Raila ameandikwa
system haishindwi kumpa ushindi wanayemtaka ,jiulize Ruto anaongoza vizuri halafu time inasema ,watu watulie matokeo siyo hayo kwenye tvBaada ya Raila na Atwoli kwenda ndo wakawaambia watulize mzuka eti?!
Jamani kwa hiyo Ruto ndo anaongoza,? Dah sasa Raila ndo itakuwaje jamaniRuto ataongoza ila uchaguzi utarudiwa
matokeo ya kwenye channels zote Ruto anaongoza isipokuwa kaachwa kidogo sana kwenye citizen tv . Binafsi natamani mzee ashinde sio huyu mhuniJamani kwa hiyo Ruto ndo anaongoza,? Dah sasa Raila ndo itakuwaje jamani
Ni dalili za kujihami???Kenya yapata Rais Mpya William Ruto, baada Kumshinda mshindani wake Raila Odinga kwa tofauti ya kura 27000
Daah raila haamini kabisamatokeo ya kwenye channels zote Ruto anaongoza isipokuwa kaachwa kidogo sana kwenye citizen tv . Binafsi natamani mzee ashinde sio huyu mhuni
Unafiri chibukati atangaza matokeo yapi tofauti na haya ya uchaguzi mkuu wa Jana ambayo ndo haya haya yanatangazwa na media?! Chibukati mwenyewe analalamikia media kuwa ziko nyuma sana wao EIBC washapata 98% ya matokeo ila wanasubiri hard copy zifike ili walinganishe yaliyotumwa kwa soft copy na hizo hard copy, na amesisitiza matokeo yanayotangazwa kwenye kituo yatabaki vilevile, na media ndo zinatangaza hayohayo ya vituoni.Hapa msema kweli ni Tume ya Uchaguzi chini ya Chebukati peke yake.Huku kwingine tunajifurahisha tu
Hao sio tume ya uchaguzi wewe, hao ni NTV.Kumbe hawa ndiyo Tume ya Uchaguzi?
It might be so. Ila ikiwa hivyo na kama kampeni zitaruhusiwa, hao wagombea wawili wa mwisho watakuwa LULU kwani huenda wafuasi wao wakatoa deciding votes kwa hiyo Raila na Ruto watawagombea kutaka uungwaji mkono kutoka kwa wafuasi wa hao wagombea wawili wa mwisho (waihiga na Prof Wajackoyah)Wataenda duru ya pili, hamna jinsi, hamna atakayetoboa 50 kwa sasa. Sina mengi naomba kuwasilisha.
Unafikiri ni kusema tu eti?! System yenyewe hawafanyi vitu kijinga namna hiyo, hatua ya kwanza wasingeruhusu uwazi wa namna hii, pia habari ya media kuwa tallying Center zao na kutoa matokeo kabla ya tume.system haishindwi kumpa ushindi wanayemtaka ,jiulize Ruto anaongoza vizuri halafu time inasema ,watu watulie matokeo siyo hayo kwenye tv
Ruto ndo alisababisha Odinga awe prime minister,Ruto alisababisha Uhuru awe Raisi. Anashindwa vipi yeye kujisababisha kuwa Rais ?Ila Ruto akimshinda Odinga pamoja na msaada wa Uhuru basi ni kidume haswa
Sio angehama ikulu..bali angekatwa kichwa..Wakenya ogopa sana jamaa wale.Daily Nation hawa. Ila mabadiliko ni kila sekunde
2020 Magufuli alituwekea wabunge Tanzanai nzima. Na sisi tukabaki kumchekea tu. Ingekuwa Kenya angehama ikulu.