Tulia uandike vizuri na vumilia msumariYanga inahitaji mshaliaji wa kati ....
Hakukuwa na haja ya Emmanuel Martin
Hafi mtu Azam tunakujaaaaaaaMkufee tuuh...![emoji379] [emoji379] [emoji379]
[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] pole switie!!WTF?
Kwaherini Wanayanga wenzangu [emoji24] [emoji24] [emoji24]
I can't take this
Hafi mtu Azam tunakujaaaaaaa
Yanga inahitaji mshaliaji wa kati ....
Hakukuwa na haja ya Emmanuel Martin
Ndio natoka kumaliza shughuli ya kumkafini Yanga.
kamwe siwezi kua na hofu na ndala.. leo nilikua makini na timamu nafatilia kwa umakini kinachojiri.Sembo nilikumiss, ulikuwa kimya unasikilizia nn?
[emoji23] [emoji23] [emoji23] kufa kufa tu hakun kiume wala kinakike!!!Ilikuwa lazima kandambili mfe...!hata ivo mmekufa kiume..!hii kauli mmeshaizoea