Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 40,905
- 86,203
OK ndio nimemuona Jana huyu bongozozoPiere Liquid yupo baa analewa. Huyu Bongozozo anastahiki kupewa Tuzo ya shabiki bora au apewe Cheo cha Ubalozi kwa kuwa anaitangaza Tanzania hata akiwa nchini kwao.
Kwa muda huu watu walevi watakuwa bwi chakali kama vikatuni.Kama UEFA saa 21:45.
saa1:00 jioniDaaa saa nne usiku! Hii balaa sasa
Alipokuwa kwenye AFCON Misri alivunja meza ya watu kwa sifa za kuinadi Taifa Stars wakati wabunge na mawaziri wanataka kufanya press conference wahusika wakamkazia alipe akakataa Hadi akatetewa na wabunge wanasheria yakaisha. Afu likasema walijua mimi mzungu ntalipa kirahisi mimi Mswahili aswaa. Nilicheeeka.Piere Liquid yupo baa analewa. Huyu Bongozozo anastahiki kupewa Tuzo ya shabiki bora au apewe Cheo cha Ubalozi kwa kuwa anaitangaza Tanzania hata akiwa nchini kwao.
Hahaha! Nahis bongozozo hana njaa, maana nauli hujilipia.Alipokuwa kwenye AFCON misri alivunja meza ya watu kwa sifa za kuinadi taifa star wakati wabunge na mawaziri wanataka kufanya press conference wahusika walimkomalia Hadi akatetewa na wanasheria yakaisha. Bongozozo ana Mikasa na hili taifa.
Hana njaa yule hata Mimi nahisi. Anajilipia nauli na leo amelipia watu 100 waende uwanjani.Hahaha ,nahis bongozozo hana njaa,maana nauli hujilipia
Hakuvunja meza, alipindua Meza kibabe baada ya Msuva na Samata kuwafunga Kenya. Huo ulikuwa ni ukorofi usioumiza.Alipokuwa kwenye AFCON misri alivunja meza ya watu kwa sifa za kuinadi taifa star wakati wabunge na mawaziri wanataka kufanya press conference wahusika wakamkazia alipe akakataa Hadi akatetewa na wabunge wanasheria yakaisha. Afu likasema walijua Mimi mzungu ntalipa kirahisi Mimi mswahili aswaa. Nilicheeeka,
Bongozozo ana Mikasa na hili taifa.
Aliivunja meza kabisa.Hakuvunja Meza, alipindua Meza kibabe baada ya Msuva na Samata kuwafunga Kenya. Huo ulikuwa ni ukorofi usioumiza.
Piere Liquid yupo baa analewa. Huyu Bongozozo anastahiki kupewa Tuzo ya shabiki bora au apewe Cheo cha Ubalozi kwa kuwa anaitangaza Tanzania hata akiwa nchini kwao.
Ndio channel ya TAIFA?ZBC 2 watakua live.
Ndio channel ya TAIFA?
Duh nikajua kwer ni saa 21:45 maana na Mimi Nina mechi muda huo Leo....Saa moja kwa mzalendo ila kwa wafuata mkumbo ni saa 21:45.
Bongozozo anajua kuteleza na ugonjwa wa Serikali ya JiweHana njaa yule hata Mimi nahisi. Anajilipia nauli na leo amelipia watu 100 waende uwanjani.