Oyaaa majomba mwera hao
JF-Expert Member
- Jun 12, 2019
- 290
- 424
Ya aina ile ile maana yake ni nini? Watu kadhaa nimekuwa nikiwasikia wakilizungumza hili, lakini nikiwauliza maana huwa hawajibu
Kabisa mkuu
Watu wanaweka akiba ya pesa wewe unaweka akiba ya maneno!!?Ngoja niweke akiba ya maneno
Kibaya zaidi ni zile kauli za Mgunda.Unawezaje kumwacha golikipa aliyefanya saves nyingi zaidi Afcon ukachukua golikipa ambaye hata kwenye team yake anayochezea inaburuza mkia ?
Aishi naye mara kadhaa amewahi kufungwa magoli ya mbali. Ingawa mechi waliyocheza na Prison nilimuona akiwa amebadilika kwa kuokoa mpira kama aliopigiwa leo Juma Kaseja.
Naombeni link ya livestream
Kila ninapoangalia mechi za tim za tz nakuwa dissapointed
Watu walimpima Kaseja kwenye mechi nyepesi za awali za CHAN, ambazo hazikuwa na wachezaji mahiri wa kulipwa wa timu pinzani za Kenya, Burundi na Sudan. Sasa amekuja AFCON amekutana na professional playersPamoja na kwamba Aishi hifungwa magoli ya mbali lakini mengi huwa anafanya saves hasa highballs.
Hamna link?
Tusubiri apangue penatiHeight ya Kaseja imetuathiri
RightJitahidi tu uzoee kama sisi wenzako. Ile kauli ya Rais mtaafu Ali Hasaan Mwinyi ya kwamba Tanzania ni kichwa cha mwendawazimu! bado inatutesa mpaka leo ingawa tumejaribu mara kadhaa kuondokana nayo, lakini ndiyo hivyo tena.
Si ni ile mechi isiyo hitaji kuvaa jezi....Mechi gani hiyo muzee?
Dah madam mbona unatujumuisha na sie wahuni kwenye huko kugongwa sio vzur ujue😂Tushagongwa kimoja