Hahahaah we jamaa...!TeamMadrid
Teamchelsea
TeamBrasil
TeamYanga
Chicagobulls
[HASHTAG]#SerenaWilliams[/HASHTAG]
[HASHTAG]#Tigerwoods[/HASHTAG]
[HASHTAG]#Michaelschumecker[/HASHTAG]
[HASHTAG]#Husseinbolt[/HASHTAG]
[HASHTAG]#Anorldschawzniger[/HASHTAG]
[HASHTAG]#Drdre[/HASHTAG]
[HASHTAG]#MohamedAlly[/HASHTAG]
[HASHTAG]#MichaelJordan[/HASHTAG]
[HASHTAG]#Pele[/HASHTAG]
##CCM
Sishangilii legelege mimi...Nashangilia [HASHTAG]#Uhakika[/HASHTAG]
Tunaamini Yanga hawatatuangusha.Na ninyi bado mna kibarua kigumu maana mpira huu bado haujamalizika
Hahahaah sikukimbia jukwaa. Majukumu tu yaliniweka mbali kidogoKatavi mwenyewe alipotea hahahaaaaa.
Bingwa bado hajulikaniTunaamini Yanga hawatatuangusha.
Sema Yanga Bingwa tena!!!
Huku kwetu hakuna nazinaona umekuja na kifuu cha nazi!
Utamjua tu, hata kama si kwa mechi hii. Yanga BingwaBingwa bado hajulikani
Hahahaaaaaaa jingalao yani kila andiko lako huwa nacheka sana [emoji23] [emoji23] [emoji23]TeamMadrid
Teamchelsea
TeamBrasil
TeamYanga
Chicagobulls
[HASHTAG]#SerenaWilliams[/HASHTAG]
[HASHTAG]#Tigerwoods[/HASHTAG]
[HASHTAG]#Michaelschumecker[/HASHTAG]
[HASHTAG]#Husseinbolt[/HASHTAG]
[HASHTAG]#Anorldschawzniger[/HASHTAG]
[HASHTAG]#Drdre[/HASHTAG]
[HASHTAG]#MohamedAlly[/HASHTAG]
[HASHTAG]#MichaelJordan[/HASHTAG]
[HASHTAG]#Pele[/HASHTAG]
##CCM
Sishangilii legelege mimi...Nashangilia [HASHTAG]#Uhakika[/HASHTAG]
Aisee. ...sikujua kama una kipaji cha utangazaji.Yanga walifanya shambulio la hatari sana kupitia kwa Niyonzima Mwashuiya kaharibu kazi nzuri iliyofanywa na Niyonzima.
Dah
Tambwe angewafanya kitu mbaya Mbeya FC.Pongezi kwa golikipa wa Mbeya City,Yanga wamekosa goli la wazi hapa.
Hapo mwisho ndio palinifanya niangalie tena ID yake ndio nikakumbuka siasani.!Hahahaaaaaaa jingalao yani kila andiko lako huwa nacheka sana [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Yanga wanaongoza kwa goli 1-0.Aisee. ...sikujua kama una kipaji cha utangazaji.
Safi sana. Matokeo niaje hadi sasa?
Haikuwa bahati tu ile,dah.Tambwe angewafanya kitu mbaya Mbeya FC.
Hapo mwisho ndio palinifanya niangalie tena ID yake ndio nikakumbuka siasani.!Hahahaaaaaaa jingalao yani kila andiko lako huwa nacheka sana [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Mungu wangu.Haikuwa bahati tu ile,dah.