Asante jingalao,una 'mdomo' mzuri sana hahahaaaaaaadakika ya 70 ndo muda wa ushindi...tutatupia kama mbili zaidi
Bonge la goli aiseeGoaaaaaaaaaallllllllllllll Chirwaaaaaaaa Yanga 2-1Mbeya City.
Asante JumaAbdul kwa krosi kama ya David Beckham.
Wapi maandamano fcHaya sasa wachawi msiondoke,hao ndio Yanga bwana.
Kumekucha uwanja wa Taifa.
Hahahaah hawauiWewe Ngassa wewe,kumbuka Yanga tumekulea...Ohoooooo.
[emoji23] [emoji23] [emoji23]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Mpira uishe sasa jamani, wana lizombe wakamalizie kazi wasishuke daraja.
Dk ya ngapi?? Yanga siipendi jamani sijui kwa nini??!!
Nifah matokeo please hah hah
Hahahaaaaaaa poleeeeeMpira uishe sasa jamani, wana lizombe wakamalizie kazi wasishuke daraja.
Dk ya ngapi?? Yanga siipendi jamani sijui kwa nini??!!
Matokeo ni Yanga 2-1 Mbeya City. [emoji39]Matokeo tafadhalii
2-1 yanga anaongozaNgapi ngapi
Na bado.Yameongeza goli
Ewaaaa2-1 yanga anaongoza
ngapingapi had sasaMojawapo kati ya game ngumu ni hii ya leo,naweza kusema pasi na shaka Tanzania ktk ulimwengu wa soka leo imesimama.
Mungu ibarik Yanga,Amen.
Nitakuwepo hapa kutupia updates,here we go.
Dah we jamaa bhana [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Kuna househirl wangu hapa anajidai ni MBC...namcheki tu...kama sijamdai cheti sijui
Hahahaaah watasawzisha na hiliNa bado.
Kuna househirl wangu hapa anajidai ni MBC...namcheki tu...kama sijamdai cheti sijui
Alhamdulillah,nimefurahiiiiiii dah.
Hahahaah msameheKuna househirl wangu hapa anajidai ni MBC...namcheki tu...kama sijamdai cheti sijui
Nimefurahi sana kwakweli.Bonge la goli aisee