Yaliyojiri Uwanja wa Taifa: Yanga FC 2 - 1 Mbeya City

Biashara FC a.k.a Mezani football club sijui itakuwaje aiseee,, na mwaka huu wanaishia kunawa!! Jana vilijitahidi sana kununua mechi kwa stand united!!
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Baada ya ban kuisha nilikuwa naingia kwa muda mfupi sana kutokana na majukumu ya hapa na pale, wakati huo huo nikiwa na presha ya vyeti feki teh teh. Nadhani tulikuwa tunapishana
Hahahaaaaaaa ni vyema umerejea sasa tusherehekee ubingwa.
 
Mbeya City hebu nipigie hao wazee wa fitna/wahongaji fc za kutosha kuondoa fujo kitaa..
 
Mbeya City wanafanya mchezo golini mwao...wana hatari sana.
Mabeki walikuwa wanapasiana mpira kama rede hahahaaaa
 
Tanzania hakuna mpira. Hivyo mnajipotezea muda kufatilia mipira ambayo imeshachezwa mezani
 
Pole watani kwa kumpoteza Msuva dk za mapema.
Mpira ni mchezo wa Uungwana.

Mbeya City msiniangushe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…