Yaliyojiri Uwanja wa Uhuru Dar es Salaam: Maadhimisho ya miaka 55 ya Uhuru wa Tanzania Bara

Ila kama Fidel Castro atafufuka leo, anaweza akafa tena kama atamuona yule Komando wetu mwenye Kitambi.

Komando unakuaje na Kitambi???
 

Interested na hii kitu for sure
 
Uzi unatembea utadhani ni matokeo ya uchanguzi wa Zanzibar
 
Ila kama Fidel Castro atafufuka leo, anaweza akafa tena kama atamuona yule Komando wetu mwenye Kitambi.

Komando unakuaje na Kitambi???
Inawezekana ikawa ni kiribatumbo lakini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…