Yaliyojiri Uwanja wa Uhuru Dar es Salaam: Maadhimisho ya miaka 55 ya Uhuru wa Tanzania Bara

"Kwa sisi waafrika, sio jambo la ajabu kuwa na wake wawili, watatu, wanne hata kumi, ni jambo la kawaida...."
JPM katika Mazishi ya Didas Masaburi.

"Nimemuuliza Mzee Mwinyi kwanini anazidi kuwa na Afya njema zaidi japokuwa ana umri mkubwa sana, akaniambia siri ni kuwa na wake wawili"
JPM katika sherehe za Uhuru.

Sasa unganisha mwenyewe!
 
Mi nakwambia huyu first lady ni moja ya wanawake jasiri na mvumilivu, yaan Magufuli yuko madarakani mwaka mmoja tu watu washa mchoka, ila yeye kaish naye miaka 30 nyumba moja, mumuache tuu mama kwa kweli.
Apewe tuzo kwa kweli!
 
Mwenye ratiba ya epl ya Spain anipe
 
M nafarijika nikimuona Mama Maria nyerere maana yeye anajua uchungu wa uhuru
 
Mi nakwambia huyu first lady ni moja ya wanawake jasiri na mvumilivu, yaan Magufuli yuko madarakani mwaka mmoja tu watu washa mchoka, ila yeye kaish naye miaka 30 nyumba moja, mumuache tuu mama kwa kweli.
Kweli. Unauhakikaa
 
kiboko mama mr clear mzee alipoanza ugomvi tu akachukua sturi na kumtwanga kwenye miguu baadae ikasemwa kuwa anasumbuliwa na miguu kwa ajili ya kula nyama za mbuzi
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
 
Mi nakwambia huyu first lady ni moja ya wanawake jasiri na mvumilivu, yaan Magufuli yuko madarakani mwaka mmoja tu watu washa mchoka, ila yeye kaish naye miaka 30 nyumba moja, mumuache tuu mama kwa kweli.
Hawajaishi miaka yote 30 nyumba moja,asingeweza fuatilia vizuri kuanzia kampeni ilivoanza ndio wameanza kuishi nyumbamoja.
 
Endelea kutoa tu nakuto hudhulia mijumuiko ck mkeo akifa utajuwa umhimu wakuhudhulia nakujumuika na wenzio
 
mzee wa upako bwana lusekelo nae ana mambo [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Mi nakwambia huyu first lady ni moja ya wanawake jasiri na mvumilivu, yaan Magufuli yuko madarakani mwaka mmoja tu watu washa mchoka, ila yeye kaish naye miaka 30 nyumba moja, mumuache tuu mama kwa kweli.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…