WABHEJASANA
JF-Expert Member
- Jun 22, 2011
- 4,225
- 869
Sitaki kuchelewa hata kidogo nimeshaanza safari ya kuelekea Taifa.halafu Jamaa wa JF walikuwa wameficha naona walikuwa na ukarabati,hongera sana Maxence Mello
Leo anakufa mtunhaki ya mama yangu mzazi,
vip tukutAne
Jmani hakuna stream itakayoonyesha live?kwenye internet,TV je?mimi siendi Taifa naogopa ya westgate