Crocozilla
JF-Expert Member
- Oct 17, 2012
- 469
- 335
Nasikiliza radio one inaonekana huyu mtangazaji Maulid Kitenge ana maslahi na Yanga, maana simwelewi elewi.
nani kafunga lya kabhili,nabhitwa gete ong'wise
wamenuna hao.......wakati ndo kipindi cha kwanza
Masuke over..over....Leo mkishindwa kulipa zile tano mtakuwa na matatizo, halafu naona hii ni kama syndicate ya viongozi, makocha hadi wachezaji ili mashabiki na wanachama tuadhirike magoli matatu ndani ya dakika 45 sio kawaida.
basi bhana nimepiga saluti
UPDATES:
Mapumziko: Yanga 3 - 0 Simba
Mimi sipo
Bado umwelewi?
shaffihdauda said:Dk 41 Licha ya Yanga kuongoza kwa mabao 2-0, mashabiki watatu wa Yanga wamezimia na kupewa huduma ya kwanza.
natamani mechi ivurugike ili irudiwecha 4 utapiga magoti
Pengo la kaseja limeoneka leo. Simba leo haina kipa kuna picha ya kipa. Kaseja uko wapiiiii
Tukitoka mapumbuzikoni tunakuja kupiga mabao mengine..
Hii habari nzuri sana ya kuanzia wiki ijayo baada ya uchovu wa wiki iliyomalizika...
Si wanajua tukianza round ya pili itakuwa ni nne mumo kwa mumo.