Kitoabu
JF-Expert Member
- Jul 7, 2011
- 10,677
- 11,768
Namaanisha kwenye hayo mahafa mimi sihusiki.Haupo?mbona mimi nakuona upo Mkuu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Namaanisha kwenye hayo mahafa mimi sihusiki.Haupo?mbona mimi nakuona upo Mkuu?
Niliogopa hapo aisee....
Hana mchecheto kabisa....naomba jina lake aisee
Naunga mkono hoja. JF na ifanyiwe marekebisho sasa. Na uwanja wa Taifa na ufungwe. Alshabaab inasemekana wameingia hapo.
Anaitwa Ally Mustafa Barthez
Wewe nawe inaonekana sio mtani jembe unaongoza goli tatu unaogopa, je ungekuwa unaongoza kwa goli moja si ungefumba macho kabisa.