Yaliyojiri VPL: Simba SC vs Yanga SC - 20 October 2013

Status
Not open for further replies.
Naunga mkono hoja. JF na ifanyiwe marekebisho sasa. Na uwanja wa Taifa na ufungwe. Alshabaab inasemekana wameingia hapo.

Nimnukuu Invisible...

Baada ya mechi kuisha..JF haitakuwa hewani kwa muda...Baada
 
Yanga wanakosa goli la wazi kabisa.....

Ngassa anawakimbiza kweli Simba
 
Angalau, maana ingekuwa aibu kutopata goli hata moja.

 
Simba wametulia sasa hivi...Yanga wamejisahau

Domayooooooooo

Kona
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…