Yaliyojiri VPL: Simba SC vs Yanga SC - 20 October 2013

Status
Not open for further replies.
Dakika ya 65

Simba 2-3

Ngassa amekosa goli la wazi kabisa

Twite anarusha.....
 
Tanesco ya CCM bana dah! Wameona tunarudisha magoli wakakata.
 
nimekubali Yanga hawawezi kuvunja rekodi ya goli 5-0 iliyowekwa na Simba. nasema hivyo kwani kikosi walichonacho yanga leo ndicho kingeweza kufanya kazi lakini ndo hivyo wameishashindwa.
 
nimekubali Yanga hawawezi kuvunja rekodi ya goli 5-0 iliyowekwa na Simba. nasema hivyo kwani kikosi walichonacho yanga leo ndicho kingeweza kufanya kazi lakini ndo hivyo wameishashindwa.
sahau kabisa
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…