Yaliyojiri VPL: Simba SC vs Yanga SC - 20 October 2013

Status
Not open for further replies.
makocha wa ulaya huwa wanavaa suti huku kwe2 ni vipi?
 
Mnyama unyamani, mnyama unyamani, mnyama unyamani, fanya kazi ipasavyo maana hali si hali.

Kaka mkubwa naona watia tia ubani kidogo hii dhahma iwaepuke sio...
 
naona kaijage anatangaa ki yanga yanga! p'se azam tv tutafutieni watangazaji wasio na ushabiki kazini!
 
Wabongo bana....

Kuna mchezaji anaitwa William Lucian Gallas...

Yanga wanarudi sasa

Dhaira kaumia tena.............
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…