Hana madhara kwa sababu Kaseja hayupo.Kuna jamaa anaitwa Tegete, huyo jamaa mpira wake ni wakawaida lakini anapo cheza na simba lazima aharibu hari ya hewa pale msimbazi. Mimi namwitaga mshika chenji, kwakua yeye ndio ukabidhiwaga ile ndumba (chenji)
Asante kwa ufafanuzi mkuu.Kuna jamaa anaitwa Tegete, huyo jamaa mpira wake ni wakawaida lakini anapo cheza na simba lazima aharibu hari ya hewa pale msimbazi. Mimi namwitaga mshika chenji, kwakua yeye ndio ukabidhiwaga ile ndumba (chenji)
huo mfumo ungesaidia sana, lakini kama kawaida yetu kukurupuka.Hivi ule mpango wa Tikiti za Electronic zimeishia wapi,si nilisikia round ya nne badooo tu,si nilisikia mashine zimeanza Fungwa?huu usumbufu usingekuwepo
CC
KakaKiiza
Kitoabu
Mwita Maranya
kbm
OKW BOBAN SUNZU
Makoye Matale
Afro-Arabica
Crashwise
kidole007
delako
Job K
NGANU
kAMA KILE KIFO CHA AIBU CHA YANGA 5 BILA?Afe mnyama afe nasisi huku wa mbeya city tunasema lazma mnyama afe leo tena kifo cha aibu cha ugoni
Mkuu ukiwa Dar unacheza namba ngapi au wewe ndo mganga wao?
pole mtani.Wakuu nimekosa tiketi msaada tafadhari.