Jaamaa tulimwambia ahame na HIRIZI yeye kaisahau na kuiachacha kushangaza mabao yote 6 yameingia upande mmoja wa uwanja
Haaaahaaaahhh Mkuu Balantanda heshima yako lakini. Ipi bora Yanga kuharibu kwa Toto au kuharibiwa na Simba ?!!I see.......
Simba kweli raha.....Hongereni sana kwa ushindi huu......Coastal na Azam nao lazima wapate jkichapo kama hiki cha leo mlichoipa Yanga kwenye mechi hizi mbili zinazofuata
Umeona Mkuu enh!!!! Ila nime furahi sana.Pamoja sana Mkuu, hata ile Sub ya Kiiza ingeenda kwa Tegete, hawa wangekuwa wamelala sasa hivi.
Sijakuelewa mkuu......Nieleweshe tafadhali (Kama hautojali)Haaaahaaaahhh Mkuu Balantanda heshima yako lakini. Ipi bora Yanga kuharibu kwa Toto au kuharibiwa na Simba ?!!
sio mnaandika tu, hizo 3 za YANGA zimetoka wap? au zmeshushwa tu?
ndo alipochemka na magoli yakarudi yale yale matatuJaamaa tulimwambia ahame na HIRIZI yeye kaisahau na kuiacha
goli lilelile..... mpuuzi sana yule.
Naona uliingia mitini mtani.......Shabiki lazima ukomae mwanzo mwisho.....
Mkuu, wanaojisifu wana timu mwaka huu ni Simba, kulikoni mkaruhusu bao 3 kipindi cha kwanza mtani?
Sijakuelewa mkuu......Nieleweshe tafadhali (Kama hautojali)
Ila wana Simba tusisherehekee tu ushindi wa leo tuliomfunga Yanga bali ni sahihi sasa wa kuwakumbusha wale vibosile wetu wa Msimbazi ile ahadi ya kununuwa kila goli kwa cash, ahadi ni deni. Wawape vijana mpunga wao.
Hongereni sana kwa ushindi huu mtamu mkuu....Mkuu nadhani huamini kilichotokea, na ile 4-4 kama ni ile ya mwaka 1996, sare haikuwa ya mazingira kama ya leo maana ile mechi Simba ndo walisawazisha, alianza akafunga Kipese dak ya 7, Edibilly Lunyamila (penalti) dk. 28, Ahmed Mwinyimkuu dk. 43 akaipatia Simba bao la pili, Mustafa Hozza alijifunga dk 64 hivyo Yanga ikapata bao la pili, Dua Saidi dk. 60 akaifungia simba goli la tatu, Said Mwamba 'Kizota' dk. 70 akaandika goli la tatu kwa Yanga na dak ya 75 Sanifu Lazaro akafunga la nne kwa Yanga lakini dakika ya 90 Dua Said kwa mara ya pili akaifungia Simba goli nne na matokeo kuisha 4-4. hivyo sare ile bado Simba ndo waliosawazisha kwa matokeo ya mwisho.
I see......By real sense kupigwa na ndugu yetu[azam au coastal union] ni kesi ndogo ukilinganisha na mlivyotaka kutufanyia. Vice versa is true too... Bora yanga ipigwe na Toto kuliko kupigwa na Simba. SIJUI NIMEELEKA Balantanda ?!
Hongereni sana kwa ushindi huu mtamu mkuu....
Ubingwa wenu mwaka huu mtani....
I see......
Kumbe Simba ni heri ifungwe na Azam ama Coastal kuliko kufungwa na Yanga!!....... Masuke upo?, msikilize mdau wako huyu.....
Una tofauti yoyote na mzee Ibrahim Akilimali wa Yanga?, ambaye anaamini Yanga kumfunga Simba ni sawa na kuchukua ubingwa....
Hongera sana kwa ushindi mkuu wangu, naona mmeshachukua ubingwa tayari.....
Simba hoyeeeeeeeeeeeee.....
Huo ujinga wa Yanga na Toto ulishaisha siku nyingi, siku hizi Yanga akikutana na Toto ni kazi mtindo mmoja, ndio maana kuna msimu Toto alimpiga Yanga na kumtibulia nafasi yake ya kutwaa Ubingwa....
Hahaaaaaaaaaaaa.........Hayo ni ya kwake aliyesema mimi hayanihusu, ningekuwa nimesema mimi ningekuwa tayari kuyatetea.
daa watu wengine bwana