Viol
JF-Expert Member
- Dec 15, 2009
- 25,420
- 18,298
yani furaha ya watu imegeuka huzuniHahahahahaah! Safi sana simba.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
yani furaha ya watu imegeuka huzuniHahahahahaah! Safi sana simba.
aisee sijapenda hii mechi ilivyoisha,yaani simba wamepangua goli 3.ama kweli kutangulia si kufika
Full Time
Simba 3-3 Yanga
What a match
Asante kwa updates mkuu...ubarikiwe!!!
I don't get ur point, hivi unajuwa football kweli wewe au ni ushabiki maandazi,
Simba wamefungwa goli 3 kwa dakika 45 same to Yanga sasa nani aliyeshinda mechi hii? Na kazi ya dakika 90 ni nini?
Wale waliokuwa wanasema Yanga asiposhinda wanameza kisu nataka niwatafute nina visu kama vitatu, na yule aliyesema kila goli moja Simba ikipata ban siku tatu, Invisible wale wote waliotaka kufungiwa endapo Simba itapata goli bila kujali kama itashinda au la, naomba utekelezaji wa ombi lao.
I don't get ur point, hivi unajuwa football kweli wewe au ni ushabiki maandazi,
Simba wamefungwa goli 3 kwa dakika 45 same to Yanga sasa nani aliyeshinda mechi hii? Na kazi ya dakika 90 ni nini?
Wanalitumia kama kawa.wee zungukazungulka mtaani utaskia tuu hilo jina.hivi yanga bado wanatumia jina lao la yeboyebo?
Yeboyebo mnabahati sana, mnajisifia timu nzuri mnashindwa kulinda goli tatu ndani ya dak 45, Beki ya Yanga ovyo kweli na kama hawa vijana Ndemla na Lucian wangeanza toka mwanzo tungekuwa tunaongea mengine hadi sa hivi.
Wale waliokuwa wanasema Yanga asiposhinda wanameza kisu nataka niwatafute nina visu kama vitatu, na yule aliyesema kila goli moja Simba ikipata ban siku tatu, Invisible wale wote waliotaka kufungiwa endapo Simba itapata goli bila kujali kama itashinda au la, naomba utekelezaji wa ombi lao.