JF imekuwa inatufanya tukose vingi.....wengi wanaokaaa masaa mengi jf hawana mashori wakali...fanyeni tafiti....
This is unacceptable Mkuu!
Dont cross the line kwenye utani.
hau accept utani mdada?eti huwa unashtaki?
"
Kumbe % 90 ya wana JF ni mapaparazzi?
Sasa hivi wavamizi ni wengi mno kuliko wajuziHii ndio ilikuwa JF sasa, tulikuwa tunapitishiwa bakuli kuchangia ili iendelee kuwa hewani