grafani11
JF-Expert Member
- May 24, 2011
- 15,441
- 5,816
Hivi kumbe na nyie mmemuona nilifikri peke yangu,hata mimi cpendi komenti zake huyu jamaa ajirekebishe
Acheni unafiki wewe na mkolaj mngekuwa hamzisomi mngepata wapi cha kuandika? Mbona nyinyi mnatukana sana tu au mnadhani maneno yananunuliwa kwa dolar. Watu wazima mnakaa kujadili mtu badala ya kujadili michezo na ushabiki. Napata tabu kuamini kama kweli mmetimia ubongoni sawasawa.
Yule mwingine anajiita mkolaj jitu kubwa limeweka ID ya kishenzi linabusu mtoto mdogo, wewe naye mimacho imekutoka kama marehemu aliyekufa kwa ajali ya moto mbona hatujasema? Acheni upumbavu ukiona mtu hajakujibu ujue amekupuuza usiendelee kumfuata fuata.
Last edited by a moderator: