said ndambile
Member
- Sep 5, 2013
- 74
- 3
Dah imefika wakati Viongozi wa Yanga badiliken dah tunaishia kupata matokeo apa JF tu, kama vipi wapigwe tu.
Platim 1 yanga 2 halftime.
Hongereni yanga ongezeni mengine kama matatu hivi.
Half Time
Yanga 2-1 Platinum
Hapa ndipo huwa unanikosha
Wanakwambia mpira ukionyeshwa kwenye TV watu hawataenda uwanjani í-½í¸‚í-½í¸‚
hahahaah,,,,,,,,mtani kivipi tena
Yanga waongeze magoli mengine 2 ili tutoke kifua mbele.Yanga wameshaharibu kuruhusu hilo goli
Yanga wameshaharibu kuruhusu hilo goli
yanga msitake kutuudhi. sisi tumesahau tofaut zetu tumeamua kuja kuwashangilia mnafanya mambo ya ajabu team kama hii haipaswi kupata hata 0 wanatakiwa wapate negative 0 kabisa hawa wapigeni 10 leo kwa hilo moja lao. ni team mbovu sana hii huko kwao inashika nafasi ya nne wakati ninyi mnaongoza.